Madaktari: Jiandaeni kuongea na JK kupitia wazee wa Mwanza

tonnyalmeida

JF-Expert Member
Feb 1, 2012
226
46
Leo jioni jk ataongea na wazee wa mwanza, kama alivofanya kwa walimu jambo linalotegemewa kuzungumzwa ni mgomo wa madaktari..

Naomba kuwasilisha.
 
Huyu nae badala ya kuongea na madaktari yeye anaenda kuongea na wazee, ili wampigie makofi tu maana hata anachowaambia hawaelewi au huyu Vasco akili zake kama za hawa wazee ndio maana kila siku anaongea nao na anaogopa kuongea na watu wenye akili watamchallenge.
 
Rais wako hajui nini kinaendelea kwenye nchi yetu, hata majukumu yake anaonekana hayajui.
 
Tangu katoka davos ameonekana akifungua benki, kuongea na asasi za kiraia ikulu, kuhudhuria sherehe za kilele za siku ya sheria ambako alikili serikali haina pesa, asubui hii maadhimisho ya miaka 35 ya ccm ktk viwanja vya furahisha na kirumba na leo jioni TBC1 wanasema atakutana na wazee wa mwanza kuongea nao LAKINI CHA AJABU HAJAKUTANA NA MADAKTARI KUONGEA NAO KUHUSU MADAI YAO YALOPELEKEA MGOMO NA WATANZANIA WENGI KUATHIRIKA KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE.

YOTE HAYO ALOYAFANYA TANGU ARUDI SIO MABAYA HAPA NACHOJARIBU KUKIWEKA SAWA NI NINI KIPAUMBELE CHA TAIFA HILI KWA WAKATI HUU KWA RAISI WETU?
 
we keep our ears to the ground, who knows he may suprise us with some unheard wisdom, let us give him another chance
 
Kama akifanya hivyo itakuwa ni dharau kubwa sana kwa wanataaluma kwenye hii sekta...

Mkuu historia inaonyesha ashafanya hvo na kuidhalilisha taaluma ya ualimu ambayo ninaiheshimu sana hvo sidhani kama ni ajabu kwa yeye kurudia hili katika taa!uma ya utabibu.
 
Wazee wa Mwanza wamekwishamzarau ndio maana ukiangalia picha zao walipokuwa wanamkalibisha hawakuwa wamevaa magwanda ya kijani kama walivyovaa wanafunzi!!
 
hana akili ya kujipanga huyo subiri uone upupu atakao mwagwa ambao utaiwasha tanzania kwa muda wa kutosha!

Kama sijamnukuu vibaya katka hotuba yake mwishoni ni kama kawaweka kiporo madaktari.. anasema leo hotuba haijagusa* adaktari sababu ulikuwa ni mda wa ccm sa sijui mda wa madaktari ni upi..
 
Wazee wa Mwanza wamekwishamzarau ndio maana ukiangalia picha zao walipokuwa wanamkalibisha hawakuwa wamevaa magwanda ya kijani kama walivyovaa wanafunzi!!

Halafu watoto walikuwa kibao na sungusungu wamesombwa kutoka maeneo mbali mbali ikiwemo wilaya ya bariadi mkoa mpya wa SIMIYU ili kueneza propaganda eti watu walikuwa wengi.. kazi kwelikwel.
 
Back
Top Bottom