hv karibuni kumekuwa kauli kwamba madaktari hawaruhusiwi kugoma eti kwa sababu wamesomeshwa na serikali,naomba kujua je madaktari huwa hawarudishi fedha walizotumia katika masomo kwa bodi ya mikopo kama wafanyavyo katika sekta nyingine, na kama hurudisha kwanini watu wanasema wamesomeshwa bure kana kwamba bodi huwa haiwadai fedha walizotumia katika masomo.