Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,039
- 2,199
wakuu hili ni swali muhimu la kujiuliza kama kweli madaktari wanaoenda jeshini walipanga kufanya hivyo au ni kwa sababu ya maslahi na mazingira duni ya madaktari?hata kama madaktari hawa ni clinical officers je ni kweli dhamira zao ziliwatuma kuingia huko au ni kutafuta maslahi kama walivyo wataalamu wengi waliojiingiza kwenye siasa.