Didia
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 719
- 258
Katika nchi hii serikali inaogopa wananchi wakawaida tu na si wafanyakazi wake maana inajua ikitia mkwara tu wengi watafyata mkia isipokuwa wachache ambapo itapata nafasi nzuri ya kuwashughulikia. Dio maana Pinda anakiburi. Wananchi walipokomaa kule mbeya tuliona serikali ikiufyata. Ilipoua januari 2001 kule Zbar na kuona wazazibari hawatishiki iliufyata na kurusu haki yao ya kuandamana,
Halafu hii serikali inayoshauliwa na mtu kama Wasira kweli inaweza kutoa wapi busara? Hebu mtazameni hata katika zile picha za Rais na ujumbe wa CHADEMA, kama vile hakupendezwa na kitendo kile. Atakuwa alitia husuda sana JK akamsusia. Serikali yetu haina washauri makini isipokuwa wale wanaongalia matumbo yao
Halafu hii serikali inayoshauliwa na mtu kama Wasira kweli inaweza kutoa wapi busara? Hebu mtazameni hata katika zile picha za Rais na ujumbe wa CHADEMA, kama vile hakupendezwa na kitendo kile. Atakuwa alitia husuda sana JK akamsusia. Serikali yetu haina washauri makini isipokuwa wale wanaongalia matumbo yao