Nipo hapa mkoani dodoma , nimetembelea muda huu bar maarufu ya carribean jirani na ofisi ya bunge nimekuta madaktari wengi sana wakiondoa stress kwa kupata vinywaji source ni phd mwenyewe nimeungana nao na heniken yangu ya baridi
Mkuu mbona nami nipo maeneo hayo lakini sioni madaktari hapo? Nielekeze meza mliyokaa
Mkuu kuna cha kuchunguza kweli hapo? Naona siku hizi kila nikipiga kona unanishambulia tu. Kumbuka kwamba si kila mtu atakuwa akikipigia makofi chama unachokipenda! Mimi najiongoza Mkuu sina chama nina mawazo huru. Vyama niliachana navyo zamaaaani enzi hizo CDM ikiwa mtaa wa Kisutu karibu na Kisutu Girls Secondary School, NCCR ikiwa na makao yake makuu mtaa wa Agrey na CCM ikiwa pale Lumumba, NRA ikiwa maeneo ya kariakoo na UMD wakiwa MAgomeni. Hivi kwa sasa makao makuu ya CDM yako wapi mkuu?Nani asiyejua kuwa umetumwa kuchunguza? Mkuu PHD usijaribu kumkaribisha huyu jamaa,ni gamba linaloanza kujitokeza kama pembe vile.
Nipo hapa mkoani dodoma , nimetembelea muda huu bar maarufu ya carribean jirani na ofisi ya bunge nimekuta madaktari wengi sana wakiondoa stress kwa kupata vinywaji source ni phd mwenyewe nimeungana nao na heniken yangu ya baridi
Mkuu location yako mara nyingi huwa inakwenda na matukio....hasa pale unapokanusha jambo.....Tusishangae kwenye thread nyingine ukaja ukadai upo Muhimbili...Mkuu mbona nami nipo maeneo hayo lakini sioni madaktari hapo? Nielekeze meza mliyokaa
CAREBEAN panauzwa KITIMOTO!!!! Na madaktari waislamu wapo au umeona wawili wakipata lunch umejumuisha wote???
Nipo hapa mkoani dodoma , nimetembelea muda huu bar maarufu ya carribean jirani na ofisi ya bunge nimekuta madaktari wengi sana wakiondoa stress kwa kupata vinywaji source ni phd mwenyewe nimeungana nao na heniken yangu ya baridi
Mkuu mbona nami nipo maeneo hayo lakini sioni madaktari hapo? Nielekeze meza mliyokaa