Madaktari chonde chonde

oba

JF-Expert Member
Oct 31, 2010
310
65
Nimesikia kwa vyombo vya habari kuwa next wiki madokta huenda wakagoma ati kwa kuwa bado wizara inaongozwa na mawaziri wale wale waliosababisha mgomo wa awali kitu ambacho serikali kupitia kwa PM ilikuwa imeahidi itakishughulikia.

Kuna tetesi nimezipata kuwa Dr Mponda aliandika barua ya kujiuzuru kwa raisi naye JK akamwambia kuwa " wewe bado u mchanga kwenye siasa, huo ni upepo tu utakwisha, chapa kazi achana na mambo ya kujiuzuru".

Kwa maono yangu madokta mkigoma mtakuwa mnawaumiza raia wasio na hatia kwasababu serikali hii chini ya JK haitakaa iwasikilize kwa maana ya kutatua mgogoro huo. Napendekeza mgomo na maandamano yenu yaelekezwe katika kuupinga utawala mzima wa JK na wateule wake vinginevyo mnajilisha upepo, JK will never respond to your cry!!
Nawasilisha
 
Kwa hiyo waendelee kufanya kazi wakati walidanganywa na Pinda?

Na wakifanya hivyo watakuwa kama watoto wanaodanganywa kwa pipi na kufanyishwa kazi za ajabu ajabu!!

Babu DC
 
Nimesikia kwa vyombo vya habari kuwa next wiki madokta huenda wakagoma ati kwa kuwa bado wizara inaongozwa na mawaziri wale wale waliosababisha mgomo wa awali kitu ambacho serikali kupitia kwa PM ilikuwa imeahidi itakishughulikia.
Kuna tetesi nimezipata kuwa Dr Mponda aliandika barua ya kujiuzuru kwa raisi naye JK akamwambia kuwa " wewe bado u mchanga kwenye siasa, huo ni upepo tu utakwisha, chapa kazi achana na mambo ya kujiuzuru".
Kwa maono yangu madokta mkigoma mtakuwa mnawaumiza raia wasio na hatia kwasababu serikali hii chini ya JK haitakaa iwasikilize kwa maana ya kutatua mgogoro huo. Napendekeza mgomo na maandamano yenu yaelekezwe katika kuupinga utawala mzima wa JK na wateule wake vinginevyo mnajilisha upepo, JK will never respond to your cry!!
Nawasilisha
tumechoka kufanywa watoto wadogo, na tumechoka kupewa ahadi za uongo kama jk alisema kweli kuwa huo ni upepo tu kwa kweli alikosea sana, madaktari wana hasira sana juu ya jabo hili na hata morali yao ya kazi ipo chini sana. Tusubiri tuone
 
Nimesikia kwa vyombo vya habari kuwa next wiki madokta huenda wakagoma ati kwa kuwa bado wizara inaongozwa na mawaziri wale wale waliosababisha mgomo wa awali kitu ambacho serikali kupitia kwa PM ilikuwa imeahidi itakishughulikia.
Kuna tetesi nimezipata kuwa Dr Mponda aliandika barua ya kujiuzuru kwa raisi naye JK akamwambia kuwa " wewe bado u mchanga kwenye siasa, huo ni upepo tu utakwisha, chapa kazi achana na mambo ya kujiuzuru".
Kwa maono yangu madokta mkigoma mtakuwa mnawaumiza raia wasio na hatia kwasababu serikali hii chini ya JK haitakaa iwasikilize kwa maana ya kutatua mgogoro huo. Napendekeza mgomo na maandamano yenu yaelekezwe katika kuupinga utawala mzima wa JK na wateule wake vinginevyo mnajilisha upepo, JK will never respond to your cry!!
Nawasilisha

ndugu yangu acha kuwadanganya madaktari.... Madocta gomeni mpaka kielewe(leaders have never been accountable for mistakes which emerges in their hands). Serikali yetu ina viongozi jeuri,wababe,wajivuni kana kwamba ni miungu flani. Njia pekee ni madocta wanayodemonstrate. Watanzania acheni woga tukiendea kusubiri hivi vitume vya uchunguzi mara cjui kamati ya madudu gani hatutapata suluhu ya queries zetu. Na mnajua kiongozi wa nchi yetu si mtu wa kufanya maamuzi sahihi kwa muda muafaka. Hili linapaswa kuigwa na sekta zote hususan ndugu zangu walimu.
 
Madaktari gomeni tu, sisi wananchi tupo tayari ku suspend kuugua mpaka jawabu lenu lipatikane. Mungu yu upande wetu.
 
Dr Hadji Mponda, akili za kuambiwa changanya na zako! Kindly save life of innocent Tanzanians by tendering resignation.
 
Viongozi wa CCM ni watu wabaya sana hawana UTU. SO doc do whatever suits you!
 
Gomeni tu madokta hadi kieleweke. Siasa zimezidi sana nchi hii kuliko utaalaam.

Madaktari wana haki ya kudai madai yao......lakini kugoma tena,watu wa chini watakuwa wanaumia sana,nafkiri watafute njia nyingine mbadala ya kudai madai yao..
 
Hao madokta nadiriki kuwaita hayawani, nadhani wamerukwa na akili. Wamegoma kujadili kwenye kikao kisa kuna wauguzi , watu wa maabara na wafamasia kwahiyo wao wanajiona ni bora kuliko tAaluma za wenzao. Kama wanampango wa kugoma bora wagome tu lakini wajue wanao suffer ni kina baba kabwela.
 
Hao madokta nadiriki kuwaita hayawani, nadhani wamerukwa na akili. Wamegoma kujadili kwenye kikao kisa kuna wauguzi , watu wa maabara na wafamasia kwahiyo wao wanajiona ni bora kuliko tAaluma za wenzao. Kama wanampango wa kugoma bora wagome tu lakini wajue wanao suffer ni kina baba kabwela.

wewe unayeita madaktari mahayawani,yawezekana serikali yako hii unayoitetea kila siku humu jamvini ndo hayawani number moja kwa nini iwaajiri watu ambao wewe unawaita hayawani badala yako wewe mwenye akili nyingi.Period
 
Hahaha mimi nitawaita hayawani mara 1000. Na ningependa wapimwe akili kama mrema alivyopimwa KCMC kipindi cha Mkapa. Haiwezekani wewe daktari ukatae kujadili kisa eti madai yao wao SPESHO mi naona ni upuuzi wa hali ya juu. Kwa watu waliobahatika kufuatlia huduma za afya US na Canada utakuta Nurse ni mtu muhimu sana pengine hata kuliko daktari.

Hii ni selfishness of the highest magnitude na hao jamaa naona wana lao jambo na kama wana malengo ya kisiasa bora waseme mapema maana wanao suffer ni wajomba zao na shangazi zao wanaotokea mbwinde.
 
Hahaha mimi nitawaita hayawani mara 1000. Na ningependa wapimwe akili kama mrema alivyopimwa KCMC kipindi cha Mkapa. Haiwezekani wewe daktari ukatae kujadili kisa eti madai yao wao SPESHO mi naona ni upuuzi wa hali ya juu. Kwa watu waliobahatika kufuatlia huduma za afya US na Canada utakuta Nurse ni mtu muhimu sana pengine hata kuliko daktari.

Hii ni selfishness of the highest magnitude na hao jamaa naona wana lao jambo na kama wana malengo ya kisiasa bora waseme mapema maana wanao suffer ni wajomba zao na shangazi zao wanaotokea mbwinde.


Hivi wewe unaleta propaganda zako ha JF unafikiri watanzania tumelala hii nchi inahitaji mabadiliko madaktari hawajabagua mtu wao walikwenda kuchukuwa majibu wakakuta mkutano ambao ajenda hazijulikani sasa ulitaka waingie kichwa kichwa,acha upumbavu usitumie masaburi kufikiri
 
Nilitegemea kuona michango ya watu kuitaka serikali na madaktari wafikie mwafaka lakini cha ajabu michango ya watu wengi hapa wanataka madaktari wagome....sidhani kama nyie kweli mna uchungu na madai ya madaktari kuliko ndugu zenu watakaokufa mahospitalini kama ilivyokuwa katika mgomo wa awali.
 
Sasa ukikuta ajenda hazieleweki ndio utoe lame excuses? Hapo madaktari wamechemsha na wamejidhalilisha. Na wakigoma this time wajue wananchi hawatalaumu serikali.
 
Nimesikia kwa vyombo vya habari kuwa next wiki madokta huenda wakagoma ati kwa kuwa bado wizara inaongozwa na mawaziri wale wale waliosababisha mgomo wa awali kitu ambacho serikali kupitia kwa PM ilikuwa imeahidi itakishughulikia.
Kuna tetesi nimezipata kuwa Dr Mponda aliandika barua ya kujiuzuru kwa raisi naye JK akamwambia kuwa " wewe bado u mchanga kwenye siasa, huo ni upepo tu utakwisha, chapa kazi achana na mambo ya kujiuzuru".
Kwa maono yangu madokta mkigoma mtakuwa mnawaumiza raia wasio na hatia kwasababu serikali hii chini ya JK haitakaa iwasikilize kwa maana ya kutatua mgogoro huo. Napendekeza mgomo na maandamano yenu yaelekezwe katika kuupinga utawala mzima wa JK na wateule wake vinginevyo mnajilisha upepo, JK will never respond to your cry!!
Nawasilisha

akili yako bado haina akili!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom