Lawrence Luanda
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 703
- 75
Hii nani zaidi kati ya serikali na madaktari itatuua daaaaa
acha wagome, we are tired na njaa zao. wamepewa two choices waacha kazi au wakubali mshahara... hawakuelewa nini???? wanede huku Regency, TMJ na tumaini walikokua wanaiba equipments na reagents zetu kuto muhimbili na kuvipeleka huko. shame on them
Ana BA ya KUBOFYAHiyo ndo vita ya ukweli madaktari kuliko mngetishwa na kufukuzwa kazi na mambo ya magwe pande
HIVI J.K KASOMEA NINI VILE?..............:wacko:
Muhimbili hali ni mbaya kila siku hata wakiwepo hao madaktari bingwa.
Mhhhhhhhhhh!!!!!!!!!! kumbe ni Tume ya katiba nimekumbuka!!!! Hivi nani ana simu ya zimamoto hapa jamvin kwasababu naona makanisa yapo katika hali hatarishi
baba ritz lazma awache kuendesha nchi kwa bifu.
This might be the start of many and possibly the end days of the Corrupt,Fisadilized government of CCM!!
Why not reducing the costs of running the government,especially the un-necessary poshos,and why not accuse all leaders involved in great scandals that have costed the Nation and bankrupt them and use the money obtained to strengthen important sectors like Health? Its a truth that our hospitals are in worse conditions. AND Why not speak with the doctors and offer them a significant increase,not necessarily exactly what they want! Most of them are highly educated and I do believe they will accept rather than the use of force and harsh decisions!