Lyimo
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,826
- 2,017
Wanachonifurahisha hapa ni "sababu ya kugoma" Wengine " wakati ma dr wakawaida wanadai maslai bora specialist wao aaah "hatuwezi kufanya kazi peke yetu" kwa hiyo wakiletewa watu watafanya sio
Siyo wakaokote watu Tandika wawapeleke pale, wanatakiwa watu wanaotambulika, waliokula kiapo na waliofuzu ujuzi katika uuguzi.