Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

Nawaunga mkono madaktari! kwani haliza wodi zetu hazifai ukiingia wodini wagonjwa hadi sakafuni wamelala sasa hebu fikiria daktari anafanya kuruka watu na wakati mwingine amkanyage mtu kwa bahati mbaya ndipo amfikie mgonjwa, kumbuka mgonjwa amelala sakafuni anataka atibiwe daktari anamtibuje mgonjwa.

Ukiingia wodi za kina mama wanaotaka kujifungua hali ni ileile wanalala chini daktari anamuangaliaje huyu mama sakafuni kumpima kujua njia imefunguka kiasi gani ili aweze kumuungiza chumba cha kujifungulia???

Ulimboka na wenzake wanadai mazingira mazuri ya kufanyia kazi ila serikali yetu dhaifu inaingiza huu mgomo wa kuwa ni posho za madaktari haitaki kusema ukweli na haitaki kuwa wazi, Serikali inapotosha ukweli hapo ndipo inapowakera madaktari.

Mimi binafsi natibiwa muhimbili najua hali halisi ya pale, nimehsatibiwa mwananyamala hivyo serikali iwe wazi iseme kweli
 
speacilists at MNH -TOTAL TOOLS DOWN,Watamtibu mgonjwa mmoja tu-jemedari ulimboka stephen.
meningitis hawa maspecialist wa muhi2 hawagomi kwani wana faidi ippm,kamugisha kamwe hagomi kwa mwezi anatengeneza zaidi ya milioni kumi.huo ni uongo au uthibitshe
 
running from the problem does not solve the problem tukubali selekali yetu inalikimbia tatizo
bila kulisolve kesho itakuaje ukikimbia tatizo kesho linarudi ukilimaliza kesho utasolve lingine
 
Madaktari wamechoka kushuhudia watanzania wakipoteza msia kwa kukosekana kwa sindano za kuwatundikia dripu, akina mama wakipoteza wato to wachanga kwa kukosekana kwa pmpu za kuwanyonya maji machafu vichanga hivyo vilivyomeza wakai wa kujifumgua ambazo huuzwa si zaidi ya Shilingi elfu 20,000/= n.k

Wakigoma ndio pampu zitapatikana? au zitapungua bei?
 
Get well soon kamanda Ulimboka mapambano yanaendelea mpaka mabadiliko ya kweli yaonekane.
 
Tatizo ni pale madai hayo yanapoambatanishwa na madai ya mshahara wa milioni 3.....difficult to comprehend........

Mnyonge mnyongeni haki zake mpeni. Doctors wanastahili stahiki zao kwa kiwango kizuri kama mwananchi mwingine. Lakini woote ni mashaidi, ni nadra sana kupata huduma nzuri katika hospitali za serikali ambazo ma Dr hawa wanafanya kazi. Sababu ni nyingi sana, lakini mojawapo ni kuwa, wana fanya kazi sehemu nyingi sana wao wanaita VIOSKI. Muda mwingi (sana sana ma -specialist) wanatumia katika shughuli zao na serikali binafsi, na mara nyingi sana watakuhudumia vizuri sana wakiwa katika hospitali za binafsi. Hili nalo ni tatizo kubwa sana! serikali ilichemka toka mwanzo. Kwa hiyo, hawa Ma doctor kwa hiyo hawana uzalendo wa kweli kiviiiilleee! Ni njaa tu kama tulivyo wengine. Kwa maoni yangu, serikali boresha Maslahi yao, piga marufuku kufanya kazi Hospitali za binafsi labda kama ni week end ambapo hayupo zamu, wakifanya hivyo complians nyingi sana zitapungua!
 
Kuna hii myth eti madaktari wanapigania kuboreshwa huduma za afya!

Hawana cha huduma za afya wala nini kwao muhimu ni pesa tu hata ikibidi watu wafe wao wapate pesa!


JK kaoa kwenu nini? kama huoni madai ya madaktari kua na umuhimu we utakua na dada mzulri kashapewa shavu la ukuu wa wilaya.
 
Serikali ililijua hili na imefanya hivo raia wafe, maana Serikali dhaifu imebaki kuharibu 2 sasa
 
Kuna hii myth eti madaktari wanapigania kuboreshwa huduma za afya!

Hawana cha huduma za afya wala nini kwao muhimu ni pesa tu hata ikibidi watu wafe wao wapate pesa!
Also you call yourself a great thinker? And do you think you deserve to be in this Forum? I guess nooooooo!!!
 
Ngoja tusikie Waziri mkuu atasema nini leo.

Wapi we aseme nini. Huyu jamaa huwa anakurupuka tuu ooooooooh liwalo na liwe! Yaani ka vile ana awezalo kulifanya! Kamshindwa katibu wa wizara mwizi akabaki kulialia tu! Hana kauli huyo! Kaambiwa akae chini. Yaani hata ukimwona leo bungeni anatia huruma! Wallah ka mimi Mizengo naachia ngazi! Last time alipoenda kuongea na madaktari aliwaomba wampigie makofi! This time ataomba WAMPIGE sindano! Shem on you Pinda!
 
Back
Top Bottom