meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
speacilists at MNH -TOTAL TOOLS DOWN,Watamtibu mgonjwa mmoja tu-jemedari ulimboka stephen.
Ngoja tusikie Waziri mkuu atasema nini leo.
speacilists at MNH -TOTAL TOOLS DOWN,Watamtibu mgonjwa mmoja tu-jemedari ulimboka stephen.
Adui muombee njaa!usijepata matatizo ya kitabibu ukakuta jamaa wapo kwenye mgomo sijui utafuta hii kauli yako?Big up specialists tupo pamoja
Hao madaktari wahukumiwe kifo kwa kila mgonjwa atae kufa kuanzia amri ya mahakama ya kuwata warudi kazini ilipotolewa.
Zombiiiii bado moto unawaka zaidi na zaidi na wewe goma na hiyo degree yako ya Propaganda Nape asipokufukuzia mbaliHao madaktari wahukumiwe kifo kwa kila mgonjwa atae kufa kuanzia amri ya mahakama ya kuwata warudi kazini ilipotolewa.
zomba, wapi zinapatikana kozi nzuri za diplomasia na propaganda maana nilitegema haya mambo yangeweza kuwa contained
Hao madaktari wahukumiwe kifo kwa kila mgonjwa atae kufa kuanzia amri ya mahakama ya kuwata warudi kazini ilipotolewa.