Madai ya waislam kuhusu sensa 2012

Watu badala ya kujadil mada mnajadil vitu vya ajabu... Unahesabu nyumba za ibada halafu hutak kujua waumin wangap huingia humo huo si ujnga? Nchi kama uingereza,marekan,kenya,ethiopia ktk sensa zao kipo kipengele cha dini umeshasikia watu wamekufa huko kwa sbb ya sensa? achen upuuz..Eti wasio na din itakuaje? wakat hyo serikal imepanga sensa ikaweka dodoso la nyumba za ibada je.! wapagan wana nyumba za ibada? huon serikal ina maanisha waislam na wakristo tu....WAISLAM MSIMAMO UPO PALE PALE HAKUNA KUSHIRIK

Tafakari maswali haya halafu uniambie utamshauri vipi mtu anayeweza kudai haki yake kwa kuuliza maswali haya:-
  1. Mbona wahasibu wengi ni dini/kabila X?
  2. Kwa nini maprofesa wengi wa sheria ni kabila/dini au madhehebu Y?
  3. Kwa nini wakazi wengi wa nchi, mkoa, mtaa au kitongoji X ni waumini wa dini fulani?
  4. Mbona mahakimu wengi ni waumini wa dini X?
  5. Mbona wasanii wa Bongo Flavour wanao-hit zaidi ni waumini wa dini X?
  6. Kama dini Y hawapendelewi inakuwaje wengi wao ndiyo wanasajiliwa na klabu kubwa za soka na kwa dau kubwa.
  7. Kama sensa haina udini kwa nini inahesabu watu ambao wana dini zao?

I'm religious enough lakini nathubutu kusema dini bila kuwa na elimu nzuri ya dunia inakunyima uwezo wa kupambanua mambo, na matokeo yake hutaishi kwa furaha hapa duniani na hata huko peponi hutaenda kwa kuwa hata basics za dini yako zitakupita kwa sababu ya mapepe ya bifu za kidini. Hujasikia muisilam anamwita Mkristu kafir kwa kuamini Yesu kuwa mwana wa Mungu wakati huo huo kavaa au kamvalisha mwanaye hirizi (ili kumkinga na wachawi) aliyoipata kwa mganga wa kienyeji anayetumia nguvu za mizimu au majini? Mtu huyu kwa nini asitumie nguvu ya kiimani kukwepa shirk na akishaongoka ndipo aangalie dini nyingine wanamkosea vipi Mwenyezi Mungu?

Wewe unadhani ni jambo gani katika sensa ambalo haliwezi kutengenezewa swali lenye kuleta utata? Kuna watu wanauliza kwa nini watu wanataka kujua walipozaliwa, kiwango chao cha elimu na kadhalika. Utawaambia vipi hao? Don't be stupid guys?

 
rais-muislamu
makamu wa rais......muislam
rais wa zanzibar.......muislam
makamu wa 1..........muislam
makamu wa 2..........muislam.
igp.........................muslam.
mkuu tss................muislam.
jai mkuu.................muislam.

waislamu mungu awape nini muache kulalamika?
mimi nashauri uchaguzi wa 2015 nafasi zote za juu ziachwe kwa waislamu ili waridhike kwa sababu wao ndio wa kwanza kuichagua ccm,ccm imekuwa ikiwahadaa miaka na miaka lakini badala ya kuona ni wapi walipokwama wao wanalalamikia ukiristo.
waislamu kwa sasa wako radhi kuisamehe ccm hata ikiwafanyia baya kiaso gani kisa rais na mwenyekiti wa ccm ni muislamu mwenzetu muislam na ili uwajue ni watu wa namna gani mabaya yote ccm inayowafanyia sasa watakuja kuiadhibu siku raisna mwenyekiti wa ccm ataka[po kuwa mkristo.

Daah sasa hapo wa kulalamika waislam au wakristo??!! Yaani ingekua wakristo wanalalamika si ingekua kila siku... Wakristo wako busy wanatafuta hela na kujiendeleza mda wa kulalamika vitu vidogo hakuna wakiamua waweke baraza zima la mawaziri waislam wafanye hatujali na haituhusi
 
Ni muda mrefu Waislam wa Tz wanalalamika juu ya manyanyaso wanayofanyiwa na serikali yao. Hili limekuwa likijitokeza katika siasa, elimu afya na hata nafasi mbalimbali za uongozi hapa nchini.

Mwaka huu serikari inatarajia kuendesha zoezi la kuhesabu watu na makazi kwa wote watakaolala nchini usiku wa kuamkia tar 26. Zoezi litadumu kwa muda wa siku saba. Dodoso litahusisha jina la mtu, umri wake, jinsi, elimu nk. Nyumba za Ibada pia zitahesabiwa!

Ni uamuzi mzuri wa serikari yetu kwa lengo la ku-provide huduma kwa raia wake.

Sasa Waislam wanahoji kukosekana kwa kipengele cha Dini katika madodoso hayo ya sensa. Eti wana-JF wenzangu, kuna ubaya gani serikari kujua idadi ya watu na imani zao? Kwani hii si inaweza kusaidia katika kutoa huduma stahili kwa watu kulingana na imani zao? E.g Kugawa maeneo ya mazishi kulingana na idadi ya waumini fulani katika eneo fulani? (Kumbuka Waislamu, Wakristo nk huzikana kulingana na imani zao hivyo si rahisi ku-share eneo la makaburi).

hapo kwenye red:Wala sio Waislam wa Tz ni nonsense fulani wameweka kijiwe radio imaani wanaongopeana...hivi Rais, Makamu wa rais, rais wa zenj,etc all the top ni waislamu, kwanini wao wanaruhusu sensa iwepo, na inakuwaje hao jamaa wachache waongopee wenzao?
 
Ni muda mrefu Waislam wa Tz wanalalamika juu ya manyanyaso wanayofanyiwa na serikali yao. Hili limekuwa likijitokeza katika siasa, elimu afya na hata nafasi mbalimbali za uongozi hapa nchini.

Mwaka huu serikari inatarajia kuendesha zoezi la kuhesabu watu na makazi kwa wote watakaolala nchini usiku wa kuamkia tar 26. Zoezi litadumu kwa muda wa siku saba. Dodoso litahusisha jina la mtu, umri wake, jinsi, elimu nk. Nyumba za Ibada pia zitahesabiwa!

Ni uamuzi mzuri wa serikari yetu kwa lengo la ku-provide huduma kwa raia wake.

Sasa Waislam wanahoji kukosekana kwa kipengele cha Dini katika madodoso hayo ya sensa. Eti wana-JF wenzangu, kuna ubaya gani serikari kujua idadi ya watu na imani zao? Kwani hii si inaweza kusaidia katika kutoa huduma stahili kwa watu kulingana na imani zao? E.g Kugawa maeneo ya mazishi kulingana na idadi ya waumini fulani katika eneo fulani? (Kumbuka Waislamu, Wakristo nk huzikana kulingana na imani zao hivyo si rahisi ku-share eneo la makaburi).

hapo kwenye red:Wala sio Waislam wa Tz ni nonsense fulani wameweka kijiwe radio imaani wanaongopeana...hivi Rais, Makamu wa rais, rais wa zenj,etc all the top ni waislamu, kwanini wao wanaruhusu sensa iwepo, na inakuwaje hao jamaa wachache waongopee wenzao?
 
Mimi naona waislamu peke yao ndo wanaweza kufanya hivyo huku kwa wakristo ikishatoka kauli utasikia mchungaji kasema au askofu kasema.
 
Back
Top Bottom