dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Wanataka ndani ya siku saba serikali ya CCM iwe imefanya haya:
1. Ndarichako awe amejiuzulu
2. Uwiano wa wafanyakazi wa NECTA kati ya Wakristo na waislam
3. Kuundwa tume huru kuchunguza kufelishwa kwa wanafunzi wa kiislam
4.........
5 Serikali iwape nafasi wanafunzi wote ambao baada ya matokeo yao kubadilishwa wamekuwa na sifa za kujiunga na vyuo vikuu waruhusiwe kuomba mikopo bodi ya mikopo,
Imetolewa na Shekhe Mkuu wa Tanzania
Consern
Kipi kitafuata?????
1. Ndarichako awe amejiuzulu
2. Uwiano wa wafanyakazi wa NECTA kati ya Wakristo na waislam
3. Kuundwa tume huru kuchunguza kufelishwa kwa wanafunzi wa kiislam
4.........
5 Serikali iwape nafasi wanafunzi wote ambao baada ya matokeo yao kubadilishwa wamekuwa na sifa za kujiunga na vyuo vikuu waruhusiwe kuomba mikopo bodi ya mikopo,
Imetolewa na Shekhe Mkuu wa Tanzania
Consern
Kipi kitafuata?????