Japhari Shabani (RIP)
R I P
- Jan 16, 2007
- 721
- 176
Zaidi ya wiki moja tumekua tukifuatilia swala la kurudishiwa pesa yetu ya radar kutokana na rushwa kwa viongozi wetu niseme RUSHWA kwa kua serekali yetu inaonekana bado haitaki kukubali kwamba pesa hiyo ilikua ni rushwa na sasa wameipatia jina jipya "NCHENJI"
Sikiliza mahojihano ya BBC na Naibu Spika Job Ndungai inaonyesha ni vipi viongozi wa Serikali na CCM wasivyo serious.Ni vipi utume ujumbe ambao haujui sakata hilo la radar kwa upande wa Tanzania liko katika hatua ipi? Kisheria, kisiasa, kimaadili n.k.AIBU
BBC Swahili - Habari - Tanzania bado yadai fedha zake
Sikiliza mahojihano ya BBC na Naibu Spika Job Ndungai inaonyesha ni vipi viongozi wa Serikali na CCM wasivyo serious.Ni vipi utume ujumbe ambao haujui sakata hilo la radar kwa upande wa Tanzania liko katika hatua ipi? Kisheria, kisiasa, kimaadili n.k.AIBU
BBC Swahili - Habari - Tanzania bado yadai fedha zake