Madai ya Mpendazoe yakutwa na dosari; Mahakama Kuu yatoa amri ya kuondolewa kwa kesi

Habari ni hivi jamani. Makongoro na group yake waliweka objection 3. Objection mbili jaji amezikataa straight na zimewekwa kapuni na objection moja jaji ameona kuwa ni valid. Na hili jambo ni la kawaida sana kwa shughuri za mahakama. Jambo lenyewe alilikataa jaji utaona ni faida kwa mlalamikaji kuliko makongoro. jaji ametoa mpaka tarehe 14 kufaili another petion na maamuzi yataolewa tarehe 22 ambao siku ya hearing itapangwa. Hii kesi ni ya upande mmoja tu hata kinana alipokuwa anamlazimisha mkurugenzi wa jimbo atangaze ushidi kwa makongoro alisema kuwa wewe mtangaze tu hata kama atakwenda kushindwa mahakamani.
 
Mpendazoe hawezi kushinda hiyo kesi. Maana mahakama inakuwa controlled na chama cha magamba, ila kiukweli hata magamba wenyewe wanajua kabisa kwamba walimwibia mshikaji kura zake.TZ mkuu hamna haki kwa mtu ambaye hanacho.Mpendazoe hawezi kushinda ila uchaguzi mwingine atashinda.
 
seems you want to "know" more, ni-pm..
Kwa nini niku pm, niku pm tunachumbiana?

Hili ni jamvi la wazi, umeleta kamchongo hapa kwamba Ridhiwani alifeli chuo kikuu akapeteshwa na dean of faculty.

Elezea mtu anawezaje kufeli "akabebwa"? Huna maelezo, unataka niku pm kwenye maswala ya public debate, namna gani mjomba? Kama ni swala private ambalo hutaki kumwanika Ridhiwani kwa nini ulilianzisha? Eti niku pm.
 

Nilikuwepo mahakamani. Bahati mbaya muda wa kusikiliza kesi ulihamishwa kutoka saa nne nusu ghafla hadi saa sita na nusu hivyo, nikashindwa kuisikiliza kesi live. Hata hivyo, baadaye niliongea na Mpendazoe. Ukweli ni kwamba Jaji alitupilia mbali mapingamizi ya wakili wa Mahanga. Huu ndo ukweli. Na kesi inaendelea tarehe 22 june 2011. Sasa kama kesi imtupiliwa mbali june 22 tutaenda kufanya nini mahakamani?

Jana nilimpigia mmoja wa waandishi wa gazeti la Tz daima kujua ukweli wa jambo hilo, nikaambiwa kuwa hata humo ndani kuna taarifa zisizothibitishwa kuwa mwandishi aliyeandika habari ile anachukua mulungula kutoka kwa …… wa chama cha magamba ili kupotosha ukweli.
 

Nilikuwepo mahakamani. Bahati mbaya muda wa kusikiliza kesi ulihamishwa kutoka saa nne nusu ghafla hadi saa sita na nusu hivyo, nikashindwa kuisikiliza kesi live. Hata hivyo, baadaye niliongea na Mpendazoe. Ukweli ni kwamba Jaji alitupilia mbali mapingamizi ya wakili wa Mahanga. Huu ndo ukweli. Na kesi inaendelea tarehe 22 june 2011. Sasa kama kesi imtupiliwa mbali june 22 tutaenda kufanya nini mahakamani?

Jana nilimpigia mmoja wa waandishi wa gazeti la Tz daima kujua ukweli wa jambo hilo, nikaambiwa kuwa hata humo ndani kuna taarifa zisizothibitishwa kuwa mwandishi aliyeandika habari ile anachukua mulungula kutoka kwa …… wa chama cha magamba ili kupotosha ukweli.
Kiongozi unataka kusema Happiness Katabazi ndio alokofia? Maana ndiye huandika habari za mahakamani za TZ Daima na hata habari ya jana aliiandika yeye. Nilikuwa namheshimu sana Dada huyu na nimewahi mwambia wazi kuwa kazi zake nazikubali lakini kwa hili la kula mlungula.... Nimempuuza kabisa mpaka nitakapothibitisha vinginevyo
 
Kiongozi unataka kusema Happiness Katabazi ndio alokofia? Maana ndiye huandika habari za mahakamani za TZ Daima na hata habari ya jana aliiandika yeye. Nilikuwa namheshimu sana Dada huyu na nimewahi mwambia wazi kuwa kazi zake nazikubali lakini kwa hili la kula mlungula.... Nimempuuza kabisa mpaka nitakapothibitisha vinginevyo

No ita kuwa si haki kumzushia Happiness Katabazi kuwa ndiye aliyekula mlungula aliyekula anaitwa Irene ndiyo alikuwa mhariri siku hiyo. Happy alikuwepo ila aliwai kutoka mahakamani na huyo dada aka take advantage kuandika madudu yake
 
No ita kuwa si haki kumzushia Happiness Katabazi kuwa ndiye aliyekula mlungula aliyekula anaitwa Irene ndiyo alikuwa mhariri siku hiyo. Happy alikuwepo ila aliwai kutoka mahakamani na huyo dada aka take advantage kuandika madudu yake

Irene jina nzuri kabisa lakini mlafi wa hela, huyu lazima awe malaya tu. Kama anapokea rushwa, lazima atakuwa anagawa au kuuza nanihi kwa tamaa zake.
 
Sasa hapa ndipo tutakapojua Waandishi wa Magazeti gani ni Makanjanja na Magazeti gani yana Waandishi makini.

Je ukisoma hiyo habari na kichwa chake Vinaendana!

Ingekuwa vyema kama hiyo taarifa ya gazeti la nipashe ingetolewa kwa ukamilifu ili tuone kama kuna tofauti au ni yale yale mamoja!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom