Madai ya Mengi: Polisi kujichunguza yenyewe?

Mwema alipigiwa simu na fisadi mwenye ishu kwamba deal imebumbuluka.
pole zake mengi maana kama niwajuavyo polisi wanaweza kumchinjia baharini
.

Kwa hiyo mwema alishirikishwa kuandaa mtego ili kumunasa mtoto wa Mengi?!. Tuletee hiyo link ya simu (mazungumzo kati ya fisadi na Mwema) tuone walizungumza nini. Pesronally naanza kuona uongo ndani ya whole story. Isije ikawa media house ilitaka kuuza magazeti maana hii ndo njia ya kuongeza mauzo.
 
Ni vema ingeudwa tume huru ili ichunguzwe jambo hili kwa uwazi!hapo haki ingetendeka!
 
Kama watuhumiwa hawajasimamishwa kazi, huo uchunguzi ni danganya toto. Wanatupiga changa la macho na watawalinda wenzao kama kawaida yao.
 
sijawahi kuona pepo akikemea setani tokaaaaaaaa
ila itawezekana tu endapo hao watjwa hawakushirikiana na viongozi wengine,lakini inavyoonekana huo ni mtanda mkubwa wa Mafisadi Papa na wanatumia pesa chafu sana hivyo huu uchunguzi sijui kama utafika kokote.


Ooh! WATTA GWAAN DIS A TOPANORIS MATTA! Seen! FAYAH ARE GO BURN DUNG! But who gotta Sharp Matchet kud Easly Tek Ovah! In a Dark 9t no Rite! Kwazi kwao..!
 
Mh. I.G.P Mwema wewe ni mwanasheria kwa taaluma. Kwanini polisi achunguzwe na polisi? Bado hatujasahau ya Zombe.
 
Mpango wa kwanza ilikuwa kumuwekea airport wakati anasafiri, mmoja kati ya vijana walioandaliwa akamtonya Mengi safari ikahahirishwa.

Mpango wa pili ni kumuwekea kwenye gari huyo mtoto wa Mengi, Mengi akajulishwa mpaka mpango utakapokamilikia ambapo ni Slipway. So mengi akaanda watu wake wakiwa na cameras. Huyo polisi wa Oystebay ndio akapewa mzigo na funguo za kufungulia gari, basi akafungua gari akaweka mzigo akafunga. Vijana wa Mengi wakachukua tukio zima, wakamkamata wakampeleka polisi kesi inapigwa danadana.

Mengi akaamua kwenda kwa IGP akafikiri anatania, baada ya kuwataja akampigia simu kumwambia kesho yake anawataja vigogo waliofadhili kama yeye IGP asipochukua hatua. Ndio ikabidi mwema aunde tume.

Polisi lazima wawatoe watu kafara sababu yule mzee ana full ushahidi wa videos, still pictures mpaka sauti walizorekodiwa wakati wanapanga mipango na majina ya hao vigogo yanatajwa kabisa.

Bonge la kashfa ndg zangu nitawa update ila ni aibu. Mengi si mchezo
 
Safi mwema but ili kutoharibu uchunguzi hawa watu wangesimamishwa nyazifa zao kwanza.

na ili kutoharibu uchunguzi vyombo vyote vya habari vya ipp vifungwe mpaka uchunguzi ukamilike
 
Mpango wa kwanza ilikuwa kumuwekea airport wakati anasafiri, mmoja kati ya vijana walioandaliwa akamtonya Mengi safari ikahahirishwa.

Mpango wa pili ni kumuwekea kwenye gari huyo mtoto wa Mengi, Mengi akajulishwa mpaka mpango utakapokamilikia ambapo ni Slipway. So mengi akaanda watu wake wakiwa na cameras. Huyo polisi wa Oystebay ndio akapewa mzigo na funguo za kufungulia gari, basi akafungua gari akaweka mzigo akafunga. Vijana wa Mengi wakachukua tukio zima, wakamkamata wakampeleka polisi kesi inapigwa danadana.

Mengi akaamua kwenda kwa IGP akafikiri anatania, baada ya kuwataja akampigia simu kumwambia kesho yake anawataja vigogo waliofadhili kama yeye IGP asipochukua hatua. Ndio ikabidi mwema aunde tume.

Polisi lazima wawatoe watu kafara sababu yule mzee ana full ushahidi wa videos, still pictures mpaka sauti walizorekodiwa wakati wanapanga mipango na majina ya hao vigogo yanatajwa kabisa.

Bonge la kashfa ndg zangu nitawa update ila ni aibu. Mengi si mchezo

tunashukuru kwa info, endelea kutuletea za ndani-hili jeshi la polisi pamoja na juhidi za IGP bado kuna virusi vipo kama huyu Mkumbo mimi nashangaa amebaki vipi kazini mpaka leo wakati yeye ndio alikuwa kati ya vijana wa karibu wa Zombe- yote aliyokuwa anafanya Zombe huyu alikuwa anajua!
 
Marksman, unataka mutuhumiwa wa uharifu achunguzwe na nani?, mbona wewe umekwisha hukumu kuwa jeshi l a polisi ni wakosefu na Mengi ni muonewa?!. Hivi wewe ukupewa kufanya uchunguzi utatenda haki kweli?. Mbona hupendekezi ni nani afanye uchunguzi? au ITV ndiyo inatosha kufanya uchunguzi na kuhukumu na sisi sote tukubaliane na hilo?. Rember " love somebody before you judge him/her"

Ingefaa iundwe tume huru ikijumuisha watu mashuhuri katika jamii kama vile majaji, viongozi wa taasisi za haki za kibinadamu, viongozi wa taasisi za habari kama vile Jukwaa la habari, TAMWA etc, viongozi kutoka taasisi za sheria kama vile TLS, TAWLA, pengine viongozi wa dini na polisi mwenyewe.
 
Mpango wa kwanza ilikuwa kumuwekea airport wakati anasafiri, mmoja kati ya vijana walioandaliwa akamtonya Mengi safari ikahahirishwa.

Mpango wa pili ni kumuwekea kwenye gari huyo mtoto wa Mengi, Mengi akajulishwa mpaka mpango utakapokamilikia ambapo ni Slipway. So mengi akaanda watu wake wakiwa na cameras. Huyo polisi wa Oystebay ndio akapewa mzigo na funguo za kufungulia gari, basi akafungua gari akaweka mzigo akafunga. Vijana wa Mengi wakachukua tukio zima, wakamkamata wakampeleka polisi kesi inapigwa danadana.

Mengi akaamua kwenda kwa IGP akafikiri anatania, baada ya kuwataja akampigia simu kumwambia kesho yake anawataja vigogo waliofadhili kama yeye IGP asipochukua hatua. Ndio ikabidi mwema aunde tume.

Polisi lazima wawatoe watu kafara sababu yule mzee ana full ushahidi wa videos, still pictures mpaka sauti walizorekodiwa wakati wanapanga mipango na majina ya hao vigogo yanatajwa kabisa.

Bonge la kashfa ndg zangu nitawa update ila ni aibu. Mengi si mchezo
Mimi nashangaa sana kwanini Mzee Mengi hataki kukipiga kichwa cha nyoka (Kikwete).... na badala yake anahangaika kupiga mkiani! Hii issue nzima inafanywa na lile kundi la mafisadi (tena wengi wao wana uraia wenye utata) huku wakiwa na full backup ya Serikali (waliyoiweka madarakani kwa fedha zao).
 
Back
Top Bottom