Ila hii ni kweli. Wanaume wa bara wanataka kuonja tu! Huku kwetu zenj unakutana na mkaka kwa dadake leo, next week mahari mwezi unaofuata ndoa. Ila mind you, naongelea ndoa na sio mapenzi eeh.
Baada ya mwaka analeta mke wa pili na watatu.
Ila hii ni kweli. Wanaume wa bara wanataka kuonja tu! Huku kwetu zenj unakutana na mkaka kwa dadake leo, next week mahari mwezi unaofuata ndoa. Ila mind you, naongelea ndoa na sio mapenzi eeh.
naona unataka kumsindikiza kamanda sharobaro.
naona ujapata funzo pamoja na kamanda sharobaro kukuachia funzo.
KWAN WAZANZIBAR SIO WATANZANIA jirekebise ndo nyie hayati baba wa taifa hawatakiSijui alisha kuwa na uhusiano na wabara wote!
Ana shindwa kujua binadamu hawa fanani?
Hata hivyo ni maoni yake ngoja ni yaheshimu!
KWAN WAZANZIBAR SIO WATANZANIA jirekebise ndo nyie hayati baba wa taifa hawataki