figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
huyu demu nampenda sana. Unaona vijana wa bara mlivyo peperusha njiwa wangu?. mia
Angalau Angeeleweka kama angekuwa na ushahidi wa kuwa na mwanaume anayependana nae atokae huko. pili athibitishe kuwa huko hakuna matatizo yatokanayo na mahusiano ya kimapenzi
ok shosti Madame B nimekupata, sasa kama ni kweli kwanini hawataki kulifanyia kazi hlo swala au ndo ile tabia ya watz kutokujali na kutake advantage?
labda alichezewa na mimi mkuu, manake huwa sina tabia ya kuweka kambi. Nikila mzigo tu, nasepa kama mwewe hahaaaaaaaa!
Wanawake jihadharini na Mungi siyo mpenzi wa dhati kabisa!
Ni kweli kbs kuwa wanaume wa bara hawana mapenzi kbs.
Nadhani inatokana na uwingi wa wanawake tuliopo.
Ila Wanaume wenyewe wanabisha sijui kwa nini.
Na si kwa mastaa tu,hata madada wasio mastaa wanalalamika sana kuhusu upendo wa wanaume wa Kitanzania kuwa F+ kwa wanawake wao.
huyu demu nampenda sana. Unaona vijana wa bara mlivyo peperusha njiwa wangu?. mia
ninachofahamu ni kuwa Wanawake wa Unguja wanayajua mapenzi kuliko Wanawake wa Bara, kwa upande wa wanaume huku Bara ni ngumu kufanya conclusion kwa kuwa makabila ni mengi hivyo kuna cultural diversity....yapo makabila wanaume lazima wawadunde wanawake wakati huo huo kuna makabila wanaume wanyenyekevu hadi katerero huombwa kwa kupiga magoti...
i reserve my comment.....
Ila hii ni kweli. Wanaume wa bara wanataka kuonja tu! Huku kwetu zenj unakutana na mkaka kwa dadake leo, next week mahari mwezi unaofuata ndoa. Ila mind you, naongelea ndoa na sio mapenzi eeh.
yah! vilevile kashilikishwa kwenye wimbo wa shala mwana. miaHivi huyu ndio yule dada kashirikishwa kwenye shooting ya Berry Black ya wimbo wa; "Mpenzi wangu mi bado nakupenda, nitakupa kila kitu unachopenda,hata kama majirani wanachonga...."
Kwa hyo Mnakiri maneno yake?
Ina mana angepima uwezo wa kila mmoja?
Hapo kwenye Bold kwa kweli tafuta sababu nyingine Rutta ila sio hyo.
Na ndomana kuna ule msemo samaki mmoja akioza.....
mtoe umtupe wengine watie ndimu.... na chimvi
haha ukiweka na limao wakati wa kumpika ukaweka na nazi juu mwake harufu hamna kabisa na tonge zinasogeaHa ha ha ha!
Lakini kale kaharufu si katakuwepo mkuu?
haha ukiweka na limao wakati wa kumpika ukaweka na nazi juu mwake harufu hamna kabisa na tonge zinasogea