Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Tanzania opposed to Rajoelina leadership
2009-03-21 12:03:14
By Felister Peter
Tanzania has condemned the forced resignation of Madagascar President Marc Ravalomanana and said it does not recognise the regime of his successor, Andry Rajoelina.
``Forcing a democratically elected head of state to resign by a mutinous faction of the military, at the instigation of a section of the population, is a serious setback for the cause of entrenching the spirit of democracy and good governance on the African continent,`` read the statement.
_________________________________________
Je Utawala wa Sultani CCM unawatisha wanajeshi wetu ,kuwa wasijaribu wala wasifikirie kuwaondoa madarakani ?
Ujumbe kwa wanajeshi wa Tanzania ,hakuna wakati mzuri wa kufanya vitu kama wakati huu ,kama mnaiona namna hali ya nchi inavyoendeshwa basi nyinyi kama mmekula kiapo cha Mwalimu Nyerere hamtamuonea haya mvivu mzembe na mzururaji basi kusema kweli WaTz wamechoka na tabia iliyojitokeza baada ya uongozi wa Mwalimu Nyerere ,tabia ambayo wananchi hawana wa kumtegemea zaidi ya wanajeshi ambao ,kila unamemsikia manung'uniko ya kuwalaani viongozi au Chama cha CCM ambacho wengi wa viongozi wake wameifanya nchi hii kuwa sehemu ya mtaji wao binafsi ,wananchi ambao walitegemea ujaji wa vyama vingi vya siasa kuwa mkombozi lakini bado Mtawala CCM anaendelea kuonyesha ubabe kwa kutumia sehemu ndogo ya vyombo vya dola kujiweka madarakani ,kwa kuiba kura kubadilisha matokeo na kutumia hazina ya nchi katika kuwanunulia na kuwadanganya wananchi walio masikini kwa kuwapa kofia na fulana ili kuununua utu wao ,udhaifu wa viongozi wa CCM katika kuwatumikia wananchi umepotea na walicho au wanachokifanya hivi sasa ni ubabe tu wakuwaburuza wananchi. Hakuna asieelewa namna wizi unaofanywa na viongozi wa serikali ni kitu tokea kilikuwa siri mpaka sasa ni mchana kweupe viongozi wa Chama kimoja serikali moja wanaogombania ulaji wanaonekana waziwazi kwenye vyombo vya habari ,hili si jambo la kulitazama na kulichekea ni aibu kubwa na si kwa wananchi walio wanyonge hata kwa Jeshi ambalo ni dhamana na mlinzi wa Nchi hii ,asionewe haya mtu , si mkubwa si mdogo viongozi wa Sultani CCM wamebadilika roho na hawana imani na mwananchi wa kawaida kila alie kwenye uongozi anatesa kivyake na hakuna wa kumgusa ,haya yanaonekana na yapo open kabisa.
Isionekane kama nachochea hapana ,kwani kwa hapa tulipofikishwa ni sehemu ambayo kwa nchi za wengine ungelikwisha sikia matokeo ,na hasa hali hii iliyopo kama Raisi wetu Kikwete angekuwa muungwana wa kweli basi angekwishaivunja serikali na yeye mwenyewe kujiuzulu ,maana matatizo yaliopo kwenye vyombo vya serikali si madogo ,ukiangalia kuanzia ngazi za Polisi mpaka mawaziri ni vurugu mechi tupu,ukiangalia mauaji ya vikongwe na ndugu zetu maalbino si mambo madogo kwa kiwango yalichofikia ,ukiangalia mauaji ya Pemba yaliofanywa na polisi kwa kuiweka CCM madarakani si mambo ya kutazamwa na kuambiwa kuwa wamejitakia wenyewe ,ni uwazi wa kuonyesha nchi inakaliwa kimabavu na watu wachache ,watu ambao wameshindwa kutazama na kuulinda utu wa mtu mwengine.
Angalia Burundi ,ni juzi tu wameuliwa albinoes haikupita wiki wauaji wamekamatwa kwa mpigo na kesi zao zipo katika hatua ya kufikishwa mahakamani ,nchi ambayo ilitawaliwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe kwa miaka ,leo hii wameonyesha kuwa uwezo wa kuendesha nchi wanao na usalama wao uko macho ,sisi tusiokuwa na matatizo ya kivita ,nchi yenye wananchi watiifu kabisa ,vyombo vyetu vinashindwa kuzuia zaidi ya kuonekana wakiwa wamebeba mitutu kuzuia maandamano ya kisiasa ,na polisi wanajigamba eti wamefanikiwa kuzuia maandamano ,jambo ambalo limeruhusiwa kikatiba ,naweza kusema na kumpa Mbowe asante sana kwa kuwakachia polisi kuvunja mkutano wako hilo ni jambo la kupigiwa mfano na hapo inaonyesha jinsi uvumilivu unapoelekea mwisho ,heko Mbowe na wananchi wa Kilimanjaro kwani polisi si kweli kuwa wapo kwa ajili ya usalama wa wananchi bali wapo kwa ajili ya usalama wa Wafuasi wa Sultani CCM peke yao.
Hapa watu wanakamatwa na viungo na kila kitu lakini utaona kesi inazungulushwa na haijulikani itakavyoishia ,wala husikii mhusika ameweza kuwataja waliomtuma na mganga aliewaelekeza shughuli hiyo ,ni aibu na mambo mengine yanaonekana wazi wazi kuwa wakubwa waliomo serikalini nao wamo maana kama hawamo basi ,wangekuwa wakisisitiza kuwepo na uwazi katika wale wanaohusika lakini huenda jina la Chama likaharibika ,mauaji ya Arusha ingawa tume imeundwa lakini tume hiyo haikubaliki kwani imefungasha wahusika ambao ni polisi ,haki katika nchi hii ipo wapi ? wachunguzi huru wapo wapi ? Imekuwa ni mtindo kuundwa tume na halafu kuzungulushana au kuzungulusha matokeo kesi ya Zombe hadi leo inakwenda na mauzauza ya wengine kufa na wengine kuumwa ,ni katika kulindana au sio ,yule mgonjwa ameambiwa kuwa amekula sumu ,nini kimefanywa kuchunguza sumu hiyo alitiliwa wapi ? Vinasa sauti katika waliotiliwa wabunge kesi imeishia wapi ? Utaambiwa uchunguzi unaendelea ,ni kulindana.
Sasa huko madagascar wana yao na yaliyotokea wanayajua wao zaidi na sababu iliyopelekea kuyafanya wao wenyewe ndio wanaijua .
Hapa hatukusikia watu kuikanusha serikali ya Mwai Kibaki wala ya Mkuu Robert Magube ,maana hao wawili wote ni wababe ,na wanautambua ushindi wa wafuasi wa Sultani CCM unavyopatikana,makele ya Utawala wa Sultani CCM kwa wengine isiwe vitisho kwa wanaotaka maendeleo Tanzania ,hamtahesabika kuwa mumeshinda ushaguzi wakati nia na madhumuni ni kuendeleza matakwa binafsi ya kulindana ,hilo sidhani kama litakuwa jambo la kuendelea kukubalika na WaTanzania walio wengi.
2009-03-21 12:03:14
By Felister Peter
Tanzania has condemned the forced resignation of Madagascar President Marc Ravalomanana and said it does not recognise the regime of his successor, Andry Rajoelina.
``Forcing a democratically elected head of state to resign by a mutinous faction of the military, at the instigation of a section of the population, is a serious setback for the cause of entrenching the spirit of democracy and good governance on the African continent,`` read the statement.
_________________________________________
Je Utawala wa Sultani CCM unawatisha wanajeshi wetu ,kuwa wasijaribu wala wasifikirie kuwaondoa madarakani ?
Ujumbe kwa wanajeshi wa Tanzania ,hakuna wakati mzuri wa kufanya vitu kama wakati huu ,kama mnaiona namna hali ya nchi inavyoendeshwa basi nyinyi kama mmekula kiapo cha Mwalimu Nyerere hamtamuonea haya mvivu mzembe na mzururaji basi kusema kweli WaTz wamechoka na tabia iliyojitokeza baada ya uongozi wa Mwalimu Nyerere ,tabia ambayo wananchi hawana wa kumtegemea zaidi ya wanajeshi ambao ,kila unamemsikia manung'uniko ya kuwalaani viongozi au Chama cha CCM ambacho wengi wa viongozi wake wameifanya nchi hii kuwa sehemu ya mtaji wao binafsi ,wananchi ambao walitegemea ujaji wa vyama vingi vya siasa kuwa mkombozi lakini bado Mtawala CCM anaendelea kuonyesha ubabe kwa kutumia sehemu ndogo ya vyombo vya dola kujiweka madarakani ,kwa kuiba kura kubadilisha matokeo na kutumia hazina ya nchi katika kuwanunulia na kuwadanganya wananchi walio masikini kwa kuwapa kofia na fulana ili kuununua utu wao ,udhaifu wa viongozi wa CCM katika kuwatumikia wananchi umepotea na walicho au wanachokifanya hivi sasa ni ubabe tu wakuwaburuza wananchi. Hakuna asieelewa namna wizi unaofanywa na viongozi wa serikali ni kitu tokea kilikuwa siri mpaka sasa ni mchana kweupe viongozi wa Chama kimoja serikali moja wanaogombania ulaji wanaonekana waziwazi kwenye vyombo vya habari ,hili si jambo la kulitazama na kulichekea ni aibu kubwa na si kwa wananchi walio wanyonge hata kwa Jeshi ambalo ni dhamana na mlinzi wa Nchi hii ,asionewe haya mtu , si mkubwa si mdogo viongozi wa Sultani CCM wamebadilika roho na hawana imani na mwananchi wa kawaida kila alie kwenye uongozi anatesa kivyake na hakuna wa kumgusa ,haya yanaonekana na yapo open kabisa.
Isionekane kama nachochea hapana ,kwani kwa hapa tulipofikishwa ni sehemu ambayo kwa nchi za wengine ungelikwisha sikia matokeo ,na hasa hali hii iliyopo kama Raisi wetu Kikwete angekuwa muungwana wa kweli basi angekwishaivunja serikali na yeye mwenyewe kujiuzulu ,maana matatizo yaliopo kwenye vyombo vya serikali si madogo ,ukiangalia kuanzia ngazi za Polisi mpaka mawaziri ni vurugu mechi tupu,ukiangalia mauaji ya vikongwe na ndugu zetu maalbino si mambo madogo kwa kiwango yalichofikia ,ukiangalia mauaji ya Pemba yaliofanywa na polisi kwa kuiweka CCM madarakani si mambo ya kutazamwa na kuambiwa kuwa wamejitakia wenyewe ,ni uwazi wa kuonyesha nchi inakaliwa kimabavu na watu wachache ,watu ambao wameshindwa kutazama na kuulinda utu wa mtu mwengine.
Angalia Burundi ,ni juzi tu wameuliwa albinoes haikupita wiki wauaji wamekamatwa kwa mpigo na kesi zao zipo katika hatua ya kufikishwa mahakamani ,nchi ambayo ilitawaliwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe kwa miaka ,leo hii wameonyesha kuwa uwezo wa kuendesha nchi wanao na usalama wao uko macho ,sisi tusiokuwa na matatizo ya kivita ,nchi yenye wananchi watiifu kabisa ,vyombo vyetu vinashindwa kuzuia zaidi ya kuonekana wakiwa wamebeba mitutu kuzuia maandamano ya kisiasa ,na polisi wanajigamba eti wamefanikiwa kuzuia maandamano ,jambo ambalo limeruhusiwa kikatiba ,naweza kusema na kumpa Mbowe asante sana kwa kuwakachia polisi kuvunja mkutano wako hilo ni jambo la kupigiwa mfano na hapo inaonyesha jinsi uvumilivu unapoelekea mwisho ,heko Mbowe na wananchi wa Kilimanjaro kwani polisi si kweli kuwa wapo kwa ajili ya usalama wa wananchi bali wapo kwa ajili ya usalama wa Wafuasi wa Sultani CCM peke yao.
Hapa watu wanakamatwa na viungo na kila kitu lakini utaona kesi inazungulushwa na haijulikani itakavyoishia ,wala husikii mhusika ameweza kuwataja waliomtuma na mganga aliewaelekeza shughuli hiyo ,ni aibu na mambo mengine yanaonekana wazi wazi kuwa wakubwa waliomo serikalini nao wamo maana kama hawamo basi ,wangekuwa wakisisitiza kuwepo na uwazi katika wale wanaohusika lakini huenda jina la Chama likaharibika ,mauaji ya Arusha ingawa tume imeundwa lakini tume hiyo haikubaliki kwani imefungasha wahusika ambao ni polisi ,haki katika nchi hii ipo wapi ? wachunguzi huru wapo wapi ? Imekuwa ni mtindo kuundwa tume na halafu kuzungulushana au kuzungulusha matokeo kesi ya Zombe hadi leo inakwenda na mauzauza ya wengine kufa na wengine kuumwa ,ni katika kulindana au sio ,yule mgonjwa ameambiwa kuwa amekula sumu ,nini kimefanywa kuchunguza sumu hiyo alitiliwa wapi ? Vinasa sauti katika waliotiliwa wabunge kesi imeishia wapi ? Utaambiwa uchunguzi unaendelea ,ni kulindana.
Sasa huko madagascar wana yao na yaliyotokea wanayajua wao zaidi na sababu iliyopelekea kuyafanya wao wenyewe ndio wanaijua .
Hapa hatukusikia watu kuikanusha serikali ya Mwai Kibaki wala ya Mkuu Robert Magube ,maana hao wawili wote ni wababe ,na wanautambua ushindi wa wafuasi wa Sultani CCM unavyopatikana,makele ya Utawala wa Sultani CCM kwa wengine isiwe vitisho kwa wanaotaka maendeleo Tanzania ,hamtahesabika kuwa mumeshinda ushaguzi wakati nia na madhumuni ni kuendeleza matakwa binafsi ya kulindana ,hilo sidhani kama litakuwa jambo la kuendelea kukubalika na WaTanzania walio wengi.