The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Unajua uswahilini hakuna gharama kabisa kwanza kinywaji mnawekewa kwenye lile bilauri kubwa mnakuwa mnashea kwahiyo tukienda na 10,000 inatutosha kabisaWe Finest...Kwa mtogole kabisa..unajua tangu nije Dar, sijawahi kufika huko!!!!
r u siriaz??