BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Katika yale yanaoonyesha sasa kumekucha
wale madada zetu wanaokuwepo kwenye bar mbali mbali kwa ajili ya kuhtimisha hamu za kaka zetu
wa aina mbali mbali sasa wamepanga kuandamana wakianzia salenda kwenda wizara ya afya kulalamika unyanyasaji wa serikali kwa ma dk..katika kuhakikisha hili limewagusa mwenyekiti wa madadapoa heney sakiwa wamepanga kutoa bure baada ya kufika wizarana na kuonana na waziri husika na kinachotakiwa ni usafiri wako tu na si kingine
nahisi ikitokea taasisi zingine 5 zikaandamana akika akuna upuuzi serikali hii wataifanya
nawatakia kila la kheri katika mbinu mpya kuokoa jahazi hospitali zetu
wale madada zetu wanaokuwepo kwenye bar mbali mbali kwa ajili ya kuhtimisha hamu za kaka zetu
wa aina mbali mbali sasa wamepanga kuandamana wakianzia salenda kwenda wizara ya afya kulalamika unyanyasaji wa serikali kwa ma dk..katika kuhakikisha hili limewagusa mwenyekiti wa madadapoa heney sakiwa wamepanga kutoa bure baada ya kufika wizarana na kuonana na waziri husika na kinachotakiwa ni usafiri wako tu na si kingine
nahisi ikitokea taasisi zingine 5 zikaandamana akika akuna upuuzi serikali hii wataifanya
nawatakia kila la kheri katika mbinu mpya kuokoa jahazi hospitali zetu