Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
Mtafutieni kozi ya internet labda ataelimika.
Ha ha ha ha ha itabidi tufanye hivyo
Mtafutieni kozi ya internet labda ataelimika.
Bahati yake mbaya, akajaribu mtaani wasutane live mpaka kanga zinachanike.
Kwa hiyo hata akina kaka hawaruhusiwi? Ila inaonyesha akina mama ruksa maana yeye anawaongelea wadada tuu
Akili yako kutaka JF tuu ndio hofu na mashaka yangu. Maana nimesikia founders wa JF nao wanataka kuiweka JF offline kwa masaa 24 kuungana na Wikipedia kupinga huo mswada mpya wa Marekani.Kama hofu na mashaka unayo mbona ukakawia kuuliza? Mi hali yangu sio nzuri, akili inataka JF tu.
Vipi na wewe unataka uvishwe za kiunoni au? Bwabwa nini?
Yeahh. . nadhani alichotaka ni watu watupe maneno na kushushuana.
Shkamoo.
Marahbaaaaa mtoto mtiifu.
Vipi na wewe unataka uvishwe za kiunoni au? Bwabwa nini?
Vipi na wewe unataka uvishwe za kiunoni au? Bwabwa nini?
Unapotaka mtu abadilike unamtaka kwa vigezo vipi? Umesikia kwamba shuguli zake hazifanyiki? Au basi tu mazoea ya mtu hawezi kufanya jambo moja at once?
Japo sina haja ya kujitetea kwako naomba tu nikupe picha kidogo ya namna nnavyofanya mambo yangu kwasababu mimi ni mmoja wa watu wanaoonekana muda mwingi pale nnapoamua kufanya hivyo.
Muda wa kunywa chai asubuhi naperuzi JF, nikiwa nafanya kazi zangu shuleni nachangia mada katikati kama ambavyo naweza kujibu text, nikiwa kwenye simu mikono inatype, wakati mwingine hata nikiwa njiani/dukani nakuwa online kama ambavyo naweza kujibu text, nikiwa naandika mambo yangu naweza nikawepo JF pia, jioni nikiwa napika ule muda wa kusubiria hiki kiungue, kile kichemke naweza nikaandika kitu JF, nikiwa nimepumzika na tv naweza nikawa online kwa wakati huo huo, nikiwa nasoma/fanya kazi zangu za shule naweza nikawa active JF, nikiwa navuta usingizi naweza nikaingia JF, nikishtuka usiku naweza nikaingia JF kama ambavyo hua naishia kuangalia TV kabla ya kurudi kulala.
So far sioni uwepo wangu wa JF unanipunguzia nini, napika, nakula,naoga,naenda shule na nnafanya kazi zangu, natimiza majukumu yangu mengine ambayo ni binafsi kidogo, nafua, nafanya usafi, nalala, napumzika, naongea na ndugu/marafiki zangu/waliopo karibu naonana nao n.k
Sasa niambie UNATAKA nibadilike kwa faida ya nani?
Yap kawabana kina sasa tu basi .. hapo a
Alipo ongelea saa 7-8 za usiku duhh alijuaje kama hakuwa humu muda huo ..? Na anauhakika gani ya kwamba ni wadada kweli ?
Akili yako kutaka JF tuu ndio hofu na mashaka yangu. Maana nimesikia founders wa JF nao wanataka kuiweka JF offline kwa masaa 24 kuungana na Wikipedia kupinga huo mswada mpya wa Marekani.
Mmeanza lini haya???
Hiyo ya chini hata wewe unaweza kuijibu!
Ya juu za kuambiwa changanya na zako.
Hapo sasa. Lazima atakuwa amefanya uchunguzi wa kina.