bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Na mimi nimo da B?
umekuwa 'exception' kwenye hili kakaangu!!
Na mimi nimo da B?
na hilo hasa ndo tatizo la binadamu (wake kwa waume) tunaangalia sana mapungufu ya wengine tunajisahau wenyewe thinking we angels sent from heaven!!!
Jamaa yuko sawa sana, madada wengi mnaboa, njaa mmeweka mbele sana.
Sasa thamani ya utu wenu mmeweka rehani, sasa wengi mnaokunanao ni fugitives wamekiambia nchi zao kutafuta asylum bongo ni wapitaji, 70% of them ni waathirika wa HIV na almost all of them are night standers, Kwa mfano wengi wa east africa kama UG na KY 99% ni Magovi au kuna kasiri hapo madada zetu.
Acheni njaa.... Jishughulisheni mbona madada wezenu wengine wengi wameweza kujiheshimu, Kinachoboa zaidi mnawaharibu na wadada wengi wa shule...
NGOJA TUSUBIRI MOTO SIKU YA MWISHO
mbona unatetea sana upande mwingine mzee,kutembea nchi nyingine sio tatizo hata huko ni hayohayo tu nawaona wanavyofanya ni kama bongo tu,kwahiyo usidhani naongea kitu ambacho sina uhakika nacho,mi nawapenda kiurafiki zaidi,lakini mahusiano walishanishinda.Kwa mtu aliyesoma post yako ya kwanza ni vigumu kuamini kama ni wewe unayekuja na kauli hii. Kama huwahitaji sasa hii hadithi yote ya nini? Halafu sina hakika kama umetembelea nchi nyingine. Hali huwa kama hivi, mgeni anakuwa na mvuto fulani. Hebu achana nao kama huwahitaji na usiwasakame bure!
Jamaa yuko sawa sana, madada wengi mnaboa, njaa mmeweka mbele sana.
Sasa thamani ya utu wenu mmeweka rehani, sasa wengi mnaokunanao ni fugitives wamekiambia nchi zao kutafuta asylum bongo ni wapitaji, 70% of them ni waathirika wa HIV na almost all of them are night standers, Kwa mfano wengi wa east africa kama UG na KY 99% ni Magovi au kuna kasiri hapo madada zetu.
Acheni njaa.... Jishughulisheni mbona madada wezenu wengine wengi wameweza kujiheshimu, Kinachoboa zaidi mnawaharibu na wadada wengi wa shule...
NGOJA TUSUBIRI MOTO SIKU YA MWISHO
mbona unatetea sana upande mwingine mzee,kutembea nchi nyingine sio tatizo hata huko ni hayohayo tu nawaona wanavyofanya ni kama bongo tu,kwahiyo usidhani naongea kitu ambacho sina uhakika nacho,mi nawapenda kiurafiki zaidi,lakini mahusiano walishanishinda.
hawa sister zetu sijui vipi,unaweza kuta mtu wa maana unamfatilia kiukweli lakini anakuletea miyeyusho kibao,halafu sasa unakuja kuta kuna lofa mmoja either katoka congo,malawi,,burundi,zambia,nigeria ndio usiseme wanawaona kama wazungu, yaani popote almradi tu sio mtanzania,hata awe katoka kabul afghanistan poa tu,mbaya zaidi waweza sema anatafuta maslahi,unaweza kuta jamaa mwenyewe choka mbaya sana,lakini demu yuko tayari hata kufanya uchangu kwa majamaa mengine,ili tu aendelee kumpa gud tyme huyo huyo jamaa yake foreigner,dah mie hapo huwa ndio nashindwa kuwaelewa kabisa,so cheap stuff,kwanini mnafanya mambo haya lakini,naomba mtujibu pulizz.
Unajua kwa sababu gani? wale hawajui kona zao na ndugu zao. hivyo wanawapenda ili waweze kuwa chewat vizuri. Sisi wanatuogopa maana utafatilia kila nyendo zao. Hivyo ndo maana yake hiyo.
Hahahaha usihangaike na demu wa Kibongo watakusingua, tafuta Nigerians, Camerouns, Ivory Coast....unajua mademu wa West Africa wanatuzimia sana waTanzania, wanadai tuna tender love and care! Ila kuwa makini na Credit cards, Visa na Passport
Hahahaha usihangaike na demu wa Kibongo watakusingua, tafuta Nigerians, Camerouns, Ivory Coast....unajua mademu wa West Africa wanatuzimia sana waTanzania, wanadai tuna tender love and care! Ila kuwa makini na Credit cards, Visa na Passport
najua hawa wanatuzimia mkuu,mi huwa napoozea sana kwao,ila ndio hivyo nao mfuko inabidi uangalie,maana wako sana kimaslahi hata akupende vipi.Hahahaha usihangaike na demu wa Kibongo watakusingua, tafuta Nigerians, Camerouns, Ivory Coast....unajua mademu wa West Africa wanatuzimia sana waTanzania, wanadai tuna tender love and care! Ila kuwa makini na Credit cards, Visa card na Passport
hawa sister zetu sijui vipi,unaweza kuta mtu wa maana unamfatilia kiukweli lakini anakuletea miyeyusho kibao,halafu sasa unakuja kuta kuna lofa mmoja either katoka congo,malawi,,burundi,zambia,nigeria ndio usiseme wanawaona kama wazungu, yaani popote almradi tu sio mtanzania,hata awe katoka kabul afghanistan poa tu,mbaya zaidi waweza sema anatafuta maslahi,unaweza kuta jamaa mwenyewe choka mbaya sana,lakini demu yuko tayari hata kufanya uchangu kwa majamaa mengine,ili tu aendelee kumpa gud tyme huyo huyo jamaa yake foreigner,dah mie hapo huwa ndio nashindwa kuwaelewa kabisa,so cheap stuff,kwanini mnafanya mambo haya lakini,naomba mtujibu pulizz.
mfano kuna rafiki yangu hapa namchukulia kama ndugu,ni mtu mzuri sana kwa kweli,sasa kinachonichosha alimpata jamaa mpopo kamapa pepa mpopo baada ya kurekebisha tu jamaa akakimbilia u.k.sasa ni mwaka wa saba huu,namuona huyu dada anavyohangaika kila siku na simu na mail kumshauri jamaa aje,jamaa kule kashaoa tena demu wa kwao nigeria na ndio yuko nae ndani ya nyumba u.k.dadaangu hapa analialia tu,jamaa akija ni baada ya miaka mitatu na anakaa wiki anatimua,na anakuja mkavu hana kitu sanasana huyu sister tena ndio anatumia hela yake kumuentertain,inachosha kweli
ningekuwa simuogopi mzenj leo you would have owed me a drink.....
Hahahahah kibaya anasoftware atajua tu! Nitakupa juicy is u wont mind
Chimu jaribuni kutuelewa, hamna asiyetaka mapenzi ya kweli hiii yote ni kutapatapa kumtafuta yule unayedhani ndo atakupa unachokitaka......and not otherwise!!!
Jamaa yuko sawa sana, madada wengi mnaboa, njaa mmeweka mbele sana.
Sasa thamani ya utu wenu mmeweka rehani, sasa wengi mnaokunanao ni fugitives wamekiambia nchi zao kutafuta asylum bongo ni wapitaji, 70% of them ni waathirika wa HIV na almost all of them are night standers, Kwa mfano wengi wa east africa kama UG na KY 99% ni Magovi au kuna kasiri hapo madada zetu.
Acheni njaa.... Jishughulisheni mbona madada wezenu wengine wengi wameweza kujiheshimu, Kinachoboa zaidi mnawaharibu na wadada wengi wa shule...
NGOJA TUSUBIRI MOTO SIKU YA MWISHO