Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,407
- 8,900
Mimi nina swali dogo sana, hivi hawa Madaktari ni kwa nini watu wanawachukia sana? Hivi wameshajiuliza (Madaktari) hilo swali? Kwa nini katika taaluma zote mnachukiwa ninyi tu? Mbona walimu pia wanagoma lakini hawachukiwi kama ninyi ni mambo ya ajabu sana, yaani chuki Wananchi waliyonayo kwenu nafikiri haina tofauti na chuki waliyonayo dhidi ya Polisi mmeshakaa na kujiuliza kwa nini lakini?