Nivea
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 7,459
- 4,748
HABARI ZENU NDUGU ZANGU NAWASALIMU WOTE!
Mimi nina mtoto wa miaka sita sasa,anatabia ya kula vitu vifuatavyo alianza toka alipopata tu akili nikajua ataacha ila kadri anavyokuwa tatizo linazidi na ninahisi itamletea madhara:
anakula vitu hivi
1.chokaa
2.mawe meupe anayamumunya
3.udongo
4.gypsum powder
5.rangi ya ukutani
6.mkaa
Imefikia mahali hajifichi tena anakula wazi na anashindwa kujizuia anakunya kinyesi kinanuka sana ,sikuweza kugundua sababu nimekuwa mtu wakutoka saa 11 kurudi usiku .
ninaomba msaada
1.je hiii ninini na inatikana na nini
2.nimtibu vipi il asitaki kumpa dawa nimtibu kwa vitu asilia
3.je niukosefu wa nini?
4.je hatakuwa ameathirika na vitu hivi?
NAWASILISHA
MCHANGO WENU WA DHATI NITAUHESHIMU SANA NAKUUTUMIA
Mimi nina mtoto wa miaka sita sasa,anatabia ya kula vitu vifuatavyo alianza toka alipopata tu akili nikajua ataacha ila kadri anavyokuwa tatizo linazidi na ninahisi itamletea madhara:
anakula vitu hivi
1.chokaa
2.mawe meupe anayamumunya
3.udongo
4.gypsum powder
5.rangi ya ukutani
6.mkaa
Imefikia mahali hajifichi tena anakula wazi na anashindwa kujizuia anakunya kinyesi kinanuka sana ,sikuweza kugundua sababu nimekuwa mtu wakutoka saa 11 kurudi usiku .
ninaomba msaada
1.je hiii ninini na inatikana na nini
2.nimtibu vipi il asitaki kumpa dawa nimtibu kwa vitu asilia
3.je niukosefu wa nini?
4.je hatakuwa ameathirika na vitu hivi?
NAWASILISHA
MCHANGO WENU WA DHATI NITAUHESHIMU SANA NAKUUTUMIA