Wadau, habari za uhakika nilizozipata punde tu ni kwamba yule Mgombea uenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhan Madabida, kesho anafikishwa Mahakama Kuu. Anashitakiwa na waathirika wa Ukimwi kutokana na kiwanda chake cha TPI kilichopo Arusha kutengeneza na kusambaza dawa feki za kupunguza makali ya VVU. Waathirika wanadai mamilioni ya shilingi kama fidia.
my take: Huyu Madabida ni janga la kitaifa.
Upepo huu, utapita tu