Mada za kulinganisha vyuo ni za kipumbavu kwa sasa!

micro_almunia

Senior Member
Jan 16, 2011
134
37
Wandugu wa Jukwaa la Elimu, nimeona niwasilishe hili kutokana na mijadala isiyo na tija ambayo tunaianzisha kwenye hili jukwaa.

Naamini jamii-forum, especially hili jukwaa lilianzishwa kwa ajili ya kujadili 'mambo ya msingi' yanayohusu elimu changa inayotolewa hapa Tanzania (ikiwemo hiyo unayopewa wewe - kwa aliye mwanafunzi).

Mtu kukaa na kujaribu kukisifia chuo chako huku ukiponda kingine inaonesha immaturity kwenye hiyo elimu uliyopewa na unayojaribu kuitafuta.

Binafsi nawashauri wana-jukwaa wabadili mwelekeo na kuanza kujadili mambo ya msingi yahusuyo elimu na si kupoteza muda kushindana kwa mambo ya kipuuzi. UDSM, MZUMBE, UDOM, MUHAS, IFM, CBE, SUA n.k. vyote ni vyuo vilivyoanzishwa kwa ajili ya kunyanyua elimu za watu. Vyote vina mahali viko imara, na vina mahali viko dhaifu. Mbaya zaidi, ubora wako mwanafunzi haupandi kwa wewe kudahiliwa katika chuo fulani (specifically siku hizi TCU ndio wadahili). HEBU TUWEKE HOJA ZA MSINGI - KILA MTU AJIPIME UWEZO WAKE WA KUJADILI MAMBO YENYE TIJA KISOMI.

This is Forum - Home of Great Thinkers, ni tofauti na mitandao mingine kama ulivyo facebook. Hatujaingia humu kwa bahati mbaya, tumeinguia kuleta positive impact kwa wana jamii wetu wa Tanzania.

Thank you!!!!!!!!!!!!!!!
 
Wandugu wa Jukwaa la Elimu, nimeona niwasilishe hili kutokana na mijadala isiyo na tija ambayo tunaianzisha kwenye hili jukwaa.

Naamini jamii-forum, especially hili jukwaa lilianzishwa kwa ajili ya kujadili 'mambo ya msingi' yanayohusu elimu changa inayotolewa hapa Tanzania (ikiwemo hiyo unayopewa wewe - kwa aliye mwanafunzi).

Mtu kukaa na kujaribu kukisifia chuo chako huku ukiponda kingine inaonesha immaturity kwenye hiyo elimu uliyopewa na unayojaribu kuitafuta.

Binafsi nawashauri wana-jukwaa wabadili mwelekeo na kuanza kujadili mambo ya msingi yahusuyo elimu na si kupoteza muda kushindana kwa mambo ya kipuuzi. UDSM, MZUMBE, UDOM, MUHAS, IFM, CBE, SUA n.k. vyote ni vyuo vilivyoanzishwa kwa ajili ya kunyanyua elimu za watu. Vyote vina mahali viko imara, na vina mahali viko dhaifu. Mbaya zaidi, ubora wako mwanafunzi haupandi kwa wewe kudahiliwa katika chuo fulani (specifically siku hizi TCU ndio wadahili). HEBU TUWEKE HOJA ZA MSINGI - KILA MTU AJIPIME UWEZO WAKE WA KUJADILI MAMBO YENYE TIJA KISOMI.

This is Forum - Home of Great Thinkers, ni tofauti na mitandao mingine kama ulivyo facebook. Hatujaingia humu kwa bahati mbaya, tumeinguia kuleta positive impact kwa wana jamii wetu wa Tanzania.

Thank you!!!!!!!!!!!!!!!

kaka umeongea mambo ya msingi kabisa na hii thread kama moderator angeweza angeifanya kama welcome note yetu kwenye hili jukwaa.

Ila kaka katika hiyo orodha ya vyuo ulivyoviandika hapo umebugi(umekosea) kukiweka IFM maana akistahili kuwa orodha moja na udsm,sua,muhas,aru na mzumbe.Ukikitoa utaifanya hii thread kuwa outstanding.
 
Yale yale aliyoyosema micro-almunia kwanini IFM akistahili kuwa orodha moja na hivyo vingine, kwani chenyewe sio chuo cha elimu ya juu?
 
Uko UDOM au St Joseph nini?

sisomi chuo cha kata(udom) wala sisomi chuo cha binafsi(sjcet).Swala la kueleza mapungufu ya chuo ni moja ya majukumu yetu kama wadau wa elimu na kwenye hilo hatuta nyamaza,ila tatizo linakuja katika kufikisha hayo matatizo jukwaani,wengi tunatumia njia zisizo sahihi na walengwa nikimaanisha wanafunzi wa hivyo vyuo wanakuja juu ndio hapo penye matatizo.Kama kweli unaamini chuo unachosoma hakina mapungufu yanayo semwa humu jukwaani basi inabidi vitolewe vielelezo kuthibitisha tuhuma sio sahihi kuliko kukibeba beba wakati kibovu tu.Tuepuke kupotosha umma wakiwemo wadogo zetu wanaotarajia kusoma katika hivyo vyuo.
 
Uko UDOM au St Joseph nini?

Hahaha! Inaelekea wewe bado uko chuoni...

Maliza uingie kwenye soko la ajira. Hakuna mwajiri anayeweka chuo chako kama basis ya kukupa au kutokukupa ajira. Hata ungesoma chuo gani, in the end what matters is YOU. Kama unasoma chuo bado, 'zingatia ubora wako' maana hao unaofikiri kuwa si bora ndio wanaopigana zaidi na hatimaye utawaona wakishinda kila competition utakayokuwa pamoja nao. Kipindi hiko university rankings will have no effect on your future. [This is to help you to get ready]

The reason why intellectuals wanaaibika wakifika kwenye interviews (pamoja na matokeo yao mazuri), ni kuweka focus kwenye mijadala isiyo na msingi na isiyofanana na usomi wao.

NASHUKURU KWA ALIYEIELEWA HII POST. HAIJAWEKWA IPATE REPLY NYINGI, IMEWEKWA ILI WADAU TUSOME IBADILISHE MWELEKEO WA MIJADALA TUNAYOTEGEMEA KUANZISHA NDANI YA HILI JUKWAA LETU.

Mchango wa wanafunzi, wafanyakazi na wadau wote wa elimu unahitajika ili kuinua kiwango cha elimu ya Tanzania ambayo inapelekwa na siasa nyingi kuliko kuzingatia ubora.
 
Wandugu wa Jukwaa la Elimu, nimeona niwasilishe hili kutokana na mijadala isiyo na tija ambayo tunaianzisha kwenye hili jukwaa.

Naamini jamii-forum, especially hili jukwaa lilianzishwa kwa ajili ya kujadili 'mambo ya msingi' yanayohusu elimu changa inayotolewa hapa Tanzania (ikiwemo hiyo unayopewa wewe - kwa aliye mwanafunzi).

Mtu kukaa na kujaribu kukisifia chuo chako huku ukiponda kingine inaonesha immaturity kwenye hiyo elimu uliyopewa na unayojaribu kuitafuta.

Binafsi nawashauri wana-jukwaa wabadili mwelekeo na kuanza kujadili mambo ya msingi yahusuyo elimu na si kupoteza muda kushindana kwa mambo ya kipuuzi. UDSM, MZUMBE, UDOM, MUHAS, IFM, CBE, SUA n.k. vyote ni vyuo vilivyoanzishwa kwa ajili ya kunyanyua elimu za watu. Vyote vina mahali viko imara, na vina mahali viko dhaifu. Mbaya zaidi, ubora wako mwanafunzi haupandi kwa wewe kudahiliwa katika chuo fulani (specifically siku hizi TCU ndio wadahili). HEBU TUWEKE HOJA ZA MSINGI - KILA MTU AJIPIME UWEZO WAKE WA KUJADILI MAMBO YENYE TIJA KISOMI.

This is Forum - Home of Great Thinkers, ni tofauti na mitandao mingine kama ulivyo facebook. Hatujaingia humu kwa bahati mbaya, tumeinguia kuleta positive impact kwa wana jamii wetu wa Tanzania.

Thank you!!!!!!!!!!!!!!!

naona huna thread ya kutoa.

Hayo mambo yapo, mbona unakuwa kama hujawahi kujichanganya na watu. Hayo mambo ya kawaida. Unataka mtu akiponde chuo chake?

Mfano mimi, huwa natetea udsm kwa sababu nipo hapa na maisha nayaona, sasa unakuta mtu wa SUA anaongea kitu ambacho hana uhakika, unategemea nitamuunga mkono?

Hamna haja ya kuongea tu, its human nature..itakubidi uzoee. Mimi sioni kama kuna ubaya. Cha msingi msitukanane au kukashifiana.

Kila mtu ana haki ya kutetea anachokipenda.
 
naona huna thread ya kutoa.

Hayo mambo yapo, mbona unakuwa kama hujawahi kujichanganya na watu. Hayo mambo ya kawaida. Unataka mtu akiponde chuo chake?

Mfano mimi, huwa natetea udsm kwa sababu nipo hapa na maisha nayaona, sasa unakuta mtu wa sua anaongea kitu ambacho hana uhakika, unategemea nitamuunga mkono?

Hamna haja ya kuongea tu, its human nature..itakubidi uzoee. Mimi sioni kama kuna ubaya. Cha msingi msitukanane au kukashifiana.

Kila mtu ana haki ya kutetea anachokipenda.

wenye akili za kimaendeleo wameelewa!
 
Wandugu wa Jukwaa la Elimu, nimeona niwasilishe hili kutokana na mijadala isiyo na tija ambayo tunaianzisha kwenye hili jukwaa.

Naamini jamii-forum, especially hili jukwaa lilianzishwa kwa ajili ya kujadili 'mambo ya msingi' yanayohusu elimu changa inayotolewa hapa Tanzania (ikiwemo hiyo unayopewa wewe - kwa aliye mwanafunzi).

Mtu kukaa na kujaribu kukisifia chuo chako huku ukiponda kingine inaonesha immaturity kwenye hiyo elimu uliyopewa na unayojaribu kuitafuta.

Binafsi nawashauri wana-jukwaa wabadili mwelekeo na kuanza kujadili mambo ya msingi yahusuyo elimu na si kupoteza muda kushindana kwa mambo ya kipuuzi. UDSM, MZUMBE, UDOM, MUHAS, IFM, CBE, SUA n.k. vyote ni vyuo vilivyoanzishwa kwa ajili ya kunyanyua elimu za watu. Vyote vina mahali viko imara, na vina mahali viko dhaifu. Mbaya zaidi, ubora wako mwanafunzi haupandi kwa wewe kudahiliwa katika chuo fulani (specifically siku hizi TCU ndio wadahili). HEBU TUWEKE HOJA ZA MSINGI - KILA MTU AJIPIME UWEZO WAKE WA KUJADILI MAMBO YENYE TIJA KISOMI.

This is Forum - Home of Great Thinkers, ni tofauti na mitandao mingine kama ulivyo facebook. Hatujaingia humu kwa bahati mbaya, tumeinguia kuleta positive impact kwa wana jamii wetu wa Tanzania.

Thank you!!!!!!!!!!!!!!!

Mkuu your real a great thinker of our times..well done!!
 
naona huna thread ya kutoa.

Hayo mambo yapo, mbona unakuwa kama hujawahi kujichanganya na watu. Hayo mambo ya kawaida. Unataka mtu akiponde chuo chake?

Mfano mimi, huwa natetea udsm kwa sababu nipo hapa na maisha nayaona, sasa unakuta mtu wa SUA anaongea kitu ambacho hana uhakika, unategemea nitamuunga mkono?

Hamna haja ya kuongea tu, its human nature..itakubidi uzoee. Mimi sioni kama kuna ubaya. Cha msingi msitukanane au kukashifiana.

Kila mtu ana haki ya kutetea anachokipenda.

Msome vizuri micro.. ana mtazamo wa juu zaidi. Kama wewe unatetea UDSM eti kwa vile tu ume/nasoma pale, je mimi ambaye nimesoma UDSM,na UDOM, kwa akili ya kipumbavu niugawe mwaka nusu mbili? Nusu moja nitetee UDOM na nusu UDSM? Jibu umeshapewa ,kuwa na mtazamo mpana wa kubuni njia za kutatua matatizo ktk vyuo vyetu. Watu wengi wanaoshadidia kusifu vyuo hata darasani mara nyingi huwa "bogus" Imagine wewe ni mzazi una mtoto vyuo viwili au vitatu tofauti, utatetea UDSM ulikosoma? Acheni hizo bana!
 
umrongea point to some extent but ushindani wa elimu na mazingira ni muhimu sana duniani kote na ndio lengo kubwa la kuwa na shule na gradings tofauti
 
Msome vizuri micro.. ana mtazamo wa juu zaidi. Kama wewe unatetea UDSM eti kwa vile tu ume/nasoma pale, je mimi ambaye nimesoma UDSM,na UDOM, kwa akili ya kipumbavu niugawe mwaka nusu mbili? Nusu moja nitetee UDOM na nusu UDSM? Jibu umeshapewa ,kuwa na mtazamo mpana wa kubuni njia za kutatua matatizo ktk vyuo vyetu. Watu wengi wanaoshadidia kusifu vyuo hata darasani mara nyingi huwa "bogus" Imagine wewe ni mzazi una mtoto vyuo viwili au vitatu tofauti, utatetea UDSM ulikosoma? Acheni hizo bana!

swala sio kutetea chuo, swala ni kuelekeza kitu ambacho ni fact na hakuna uongo kwa kuwa mazingira umeyapitia. Sio lazima usome ktk chuo then ukitetee, unaweza ukawa umewahi kuishi maeneo ya chuo hicho na kuna details unazozijua. Sasa unakuta mtu anaongea mada inayohusu udsm, halafu mada yenyewe inapotosha, unakuta mimi ninayesoma hapa ninajua mtoa mada amedanganya. Unategemea nitamuunga mkono? Ukimpinga tu, watu wanadai unatetea chuo chako...sasa mtu ufanyaje?

Sizungumzii mtu apendelee chuo, no! Aongee kitu ambacho ni fact na awe amekiona kweli.
 
Naona watu wengi wanakaa kukiponda chuo cha udsm hapa JF, Wanajipotezea muda tu. Hapa sio mahala pake, pelekeni malalamiko kwenye tafiti zinazotoa ranks ya vyuo.
 
Back
Top Bottom