micro_almunia
Senior Member
- Jan 16, 2011
- 134
- 37
Wandugu wa Jukwaa la Elimu, nimeona niwasilishe hili kutokana na mijadala isiyo na tija ambayo tunaianzisha kwenye hili jukwaa.
Naamini jamii-forum, especially hili jukwaa lilianzishwa kwa ajili ya kujadili 'mambo ya msingi' yanayohusu elimu changa inayotolewa hapa Tanzania (ikiwemo hiyo unayopewa wewe - kwa aliye mwanafunzi).
Mtu kukaa na kujaribu kukisifia chuo chako huku ukiponda kingine inaonesha immaturity kwenye hiyo elimu uliyopewa na unayojaribu kuitafuta.
Binafsi nawashauri wana-jukwaa wabadili mwelekeo na kuanza kujadili mambo ya msingi yahusuyo elimu na si kupoteza muda kushindana kwa mambo ya kipuuzi. UDSM, MZUMBE, UDOM, MUHAS, IFM, CBE, SUA n.k. vyote ni vyuo vilivyoanzishwa kwa ajili ya kunyanyua elimu za watu. Vyote vina mahali viko imara, na vina mahali viko dhaifu. Mbaya zaidi, ubora wako mwanafunzi haupandi kwa wewe kudahiliwa katika chuo fulani (specifically siku hizi TCU ndio wadahili). HEBU TUWEKE HOJA ZA MSINGI - KILA MTU AJIPIME UWEZO WAKE WA KUJADILI MAMBO YENYE TIJA KISOMI.
This is Forum - Home of Great Thinkers, ni tofauti na mitandao mingine kama ulivyo facebook. Hatujaingia humu kwa bahati mbaya, tumeinguia kuleta positive impact kwa wana jamii wetu wa Tanzania.
Thank you!!!!!!!!!!!!!!!
Naamini jamii-forum, especially hili jukwaa lilianzishwa kwa ajili ya kujadili 'mambo ya msingi' yanayohusu elimu changa inayotolewa hapa Tanzania (ikiwemo hiyo unayopewa wewe - kwa aliye mwanafunzi).
Mtu kukaa na kujaribu kukisifia chuo chako huku ukiponda kingine inaonesha immaturity kwenye hiyo elimu uliyopewa na unayojaribu kuitafuta.
Binafsi nawashauri wana-jukwaa wabadili mwelekeo na kuanza kujadili mambo ya msingi yahusuyo elimu na si kupoteza muda kushindana kwa mambo ya kipuuzi. UDSM, MZUMBE, UDOM, MUHAS, IFM, CBE, SUA n.k. vyote ni vyuo vilivyoanzishwa kwa ajili ya kunyanyua elimu za watu. Vyote vina mahali viko imara, na vina mahali viko dhaifu. Mbaya zaidi, ubora wako mwanafunzi haupandi kwa wewe kudahiliwa katika chuo fulani (specifically siku hizi TCU ndio wadahili). HEBU TUWEKE HOJA ZA MSINGI - KILA MTU AJIPIME UWEZO WAKE WA KUJADILI MAMBO YENYE TIJA KISOMI.
This is Forum - Home of Great Thinkers, ni tofauti na mitandao mingine kama ulivyo facebook. Hatujaingia humu kwa bahati mbaya, tumeinguia kuleta positive impact kwa wana jamii wetu wa Tanzania.
Thank you!!!!!!!!!!!!!!!