Maugo kashindwa kuendelea round ya 7 baada ya kupigwa makonde mazipo na mshini ni fransis chekaa
Maugo kashindwa kuendelea round ya 7 baada ya kupigwa makonde mazipo na mshini ni fransis chekaa
asante kwa taarifa mkuu...
hivi ulikuwa ni mkanda wa uzito gani vile?
Kwahiyo muda wote huo wewe ulikalia kutukanana mambo ya chooni na huyo kilaza mwenzio, mijitu mizima mmekazana kutukanana hadharani mambo ya kipumbavu na kutuonyesha matakataka yaliyojaa vichwani mwenu. Mafwala sana nyie!
Maugo kashindwa kuendelea round ya 7 baada ya kupigwa makonde mazipo na mshini ni fransis chekaa
acha ujinga we dogo...nenda kakojoe ukalale!!!
acha ujinga we dogo...nenda kakojoe ukalale!!!
Sikushangai ndio uwezo wako ulipoishia kuzungumzia mambo ya chooni muda wote
Mkuu, uko baa au kijiwe cha kahawa?
ipotezee...
nikikwambia nilipo na niko na nani...unaweza kushikwa na mshtuko wa moyo kesho tukakuwahisha kinondoni makaburini.
niachie hawa madogo vichwa maji wenye kunywa maji ya chooni!!!!