drmkumba
Member
- Dec 27, 2010
- 52
- 1
Hatimaye yale majigambo ya nani zaidi kati ya mabondia Francis Cheka na Mada Maugo yamepata jibu yaani Francis Cheka ni mbabe! Kinyume na matarajio ya mashabiki wengi waliojitokeza kushuhudia mpambano huo wakitaraji kuona kiwango cha juu cha mabondia hao lakini mambo hayakuwa hivyo kwani Maugo aliboa sana tu kwa kumkumbatia Cheka kila mara hali iliyopoteza radha halisi ya mchezo huo! kwa stahili hiyo alimpa nafansi Cheka na kumtwanga kwa points! Hongera sana Cheka upekata ngebe ya mzee wa mieleka!