Asanten make hata mie nausika hapa
Magufuli afumue hii bodi...miaka nenda rudi imekuwa chanzo cha hasira ya wanavyuo dhidi ya ccm
Fedha zinaishia kupeana extrea duty na perdiems.Kweli kabisa mkuuu..... BOdi ya mkopo wanatoa mikopo kwa undugu sanaa.... magufur please tembelea pale ujioneeee.... haswa wale wadada wa heslb wanamajibu ya dharau sanaa......ifumulie tuuuuuu hiyo heslb
nyie wandugu ,,nilicho gundua sio kwamba bodi wanaupendeleo ila kuna missing of information ,,maana ake kuna makosa mengine ambayo hayapo kwetu kabisa ,,na kitu kingine bodi hawana office mikoani sababu wangekuanazo ni virahisi kwa watu kufatilia na kupata mkopo ,,kwa mfano Mimi imenilazimu kuagiza mtu anisaidie kufatilia ili kujua nini tatizo ,,alipo fika bod tatizo kweli likaonekana kumbe nacte wao hawakuwatumia bodi no yangu ya form four ,,sasa kwa namna hiyo ilikua vigumu kwa wao kutoa mkopo ,,lakini waliniambia nifatilie nacte na kuwaomba waitume hiyo no bodi na bodi wakanitaka niandike barua kuhusu hilo tatizo na kuwapelekea offine kwao ,,xo nilicho gundua matatizo yako mengi sanaa
kuna MKAPA FOUNDATION inahusika na watu kama wewe... wafuatilie
Asante bt how to?
pole sana, jaribu kuwasiliana na watu wa bodi au kama una mtu dar afuatilie kuna case za watu fomu zao kutofika bodi hivyo inabidi ujaze upya na kuonyesha viambatanisho vya maombi ya mwanzo.