nenda kwenye vikundi vya Vikoba utapata mkopo
Nimehama chuo na koz kutoka st joseph bse kwenda makumira baed na wakati huohuo nilikuwa nimepata mkopo. Je mkopo wangu ntaupata nikiwa chuo nilichohamia?
kama ulimaliza form six au diploma miaka mitatu ndo kikwazo lakn wapo wengi kama hao wamepata otherwise Ni upendeleo tu nipo na wa private O-A LEVEL na wamepewa 97%
pole dunia haiko fair