Wadau jamani mwenye ujuzi wa hii kitu aina operation system{mac os} yake anaejua nitaipata wapi msaada plz na je naweza kuinstall software ambazo nilikuwa natumia ktk pc ya kawaida na game zake
kah, mkuu unaiongelea imac g3 ninayofahamu au? coz ninayofikiria mie hapa ni ya miaka za babu wangu. anyway kuhusu os yake, kila kitu ambacho hutoka kwa apple (macbooks, imacs, ipods, ipads, iphones etc...) huwa zinatumia OS za apple (iOS for tablets, phones and ipods na Mac OS for laptops and desktops). hivi basi unatakiwa utafutane na Mac OS na games na software za Mac OS
Mac OS ni aina ya operating system kama windows na mpaka sasa imefikia 10.8 (mountain lion) ila tu kama vile mashine za intel za zamani hazisupport windows 8 au 7, hiyo G3 inaweza isisupport. ningekushauri utafutane na 9.x.x kwasababu G3 ilitoka siku za 8.x.x au kama utapata shida kupata (na utapata shida, Mac OS ni OS ambayo haitumiki mno afrika) tafutana na 10 za kwanza kwanza na uwe na utundu wa kutosha itasumbua kukubali kuinstall kwenye hardware ya kizamani kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.