Machozi tena ya Naomi Cambell

Pamoja na hali kama hiyo bado kuna mpuuzi mmoja anatumia shs mil 50 kununua mapambo ( maua ya plastiki, meza na mazulia ya kifahari) na pia bado watanzania wanawapa kura CCM. Huku sasa ndiyo kurogwa ama kulishwa limbwata na CCM
 
Pamoja na hali kama hiyo bado kuna mpuuzi mmoja anatumia shs mil 50 kununua mapambo ( maua ya plastiki, meza na mazulia ya kifahari) na pia bado watanzania wanawapa kura CCM. Huku sasa ndiyo kurogwa ama kulishwa limbwata na CCM

"Mpuuzi" yupi huyo? Hana jina?
 
wazungu wanapenda maana anafanikisha unyunyaji wao, kwa makampumi feki na uwekezaji wa kipuuzi ila mkwere yeye kichwa kinakuwa kikubwa hadi kinamshinda kubena, watanzania kama ni wanaume tuliingia choo cha kike kama wewe ni mwanamkwe uliingia choo cha kiume
 
naona maisha yetu ni magumu sana hasa kuna baadhi ya hosp ukitembelea unaweza kuzimia
 
Hivi waziri wa Elimu anafahamu habari hizi...?
Inatakiwa katika mkutano wake ka JK...suala hili liwe ni moja wapo katika "agenda"...!!! Damn...!!! Viongozi kweli hatuna....!!!
 
Hii ni photo copy tu haya Hali halisi za maisha ya Watanzania, Nawashauri wenzangu wenye uwezo wa Usafiri jaribuni kuzitumia siku zenu za mapumziko kuzunguka mikoani na kuona maisha ya Watanzania wenzetu waishio vijijini.

Nadhani tunaweza kupata fundisho zaidi kuliko kukaa mijini na kujisahau kabisa. Ndugu zetu wanaishi maisha magumu sana , Maisha ambayo hata Mbuzi hatoyastahili kabisa. Ndugu zetu wa vijijini wana hitaji msaada mkubwa kutoka kwetu sisi tuishio mijini . Kwa kumshirikisha Rais wetu ktk hali hii ya kupambana na umaskini haitosaidia kitu kwani tumeshauona UFA mkubwa ambao hatuna budi kukubaliana nao.TUNA VUNA KILE TULICHO PANDA..!!!!!
 
Serikali ni ya kulaumiwa 100% lakini na sisi WABONGO tubadilike jamani, tujifunze utamaduni wa wenzetu, tusiisubiri serikali, kila mmoja atimize wajibu wake. Let's all get involved in making a change for God sake! Sisi tumezidi kulalamika bali hakuna vitendo!Tofauti yetu na mzungu ama mtu aliekulia utamaduni wa Magharibi ni kwamba mzungu mara baada ya kuona kitu kama hii, anaingia kazini yeye binafsi kutafuta ufumbuzi na kutoa msukumo unaotakiwa, iwe ni celebrity, mwanafunzi ama hata mtalii wa kawaida lakini sisi wengi wetu tunakimbilia kupayuka tu. Zhule na wengineo suluhisho wakati mwengine sio kusubiri Serikali, ukiona hali kama hii jiulize na wewe sio serikali tu, nini unaweza kufanya kusaidia?
Nakupa mfano mdogo endapo hali kama hii angeliiona gap year student kutoka UK, angeweza kueneza habari kwa madhumuni ya kuchangisha hela na likajengwa japo darasa moja pengine baada ya mwaka, Sasa kama wenzetu wao wana mwamko kama huu kwa nini sisi tushindwe?
Kama kwa mfano mwengine wiki iliyopita kulikuwa na charity appeal ya kuchangia disadvantage children wa UK (BBC children in need) na wanaochangia wengi ni wananchi wa kawaida kama wewe na mimi, hela inayopatikana inasaidia miradi mbalimbali ya hawa watoto, iwe ni huduma za afya, elimu nk. mwaka huu pekee walichanga kiasi cha £20,309,747 ikiwa wastani wa pauni millioni 20 kupatikana katika siku 2 tu!!!! Sio kama nataka kufananisha wao na sie ila kwa nini na sisi tusiwe na walau vijiharambee vidogo kama hivi? Si tunaona watu wanachangia vitu vya kibwege kama BSS na big brother? mfano mdogo iwapo kutakuwa na appeal kama hii na kila mtu atapiga simu ama kutuma text kwa gharama ya shs.500, watu 20,000 pekee zitapatikana shilingi millioni 10,000! Tosha kujenga madarasa walau matatu.
 
Serikali ni ya kulaumiwa 100% lakini na sisi WABONGO tubadilike jamani, tujifunze utamaduni wa wenzetu, tusiisubiri serikali, kila mmoja atimize wajibu wake. Let's all get involved in making a change for God sake! Sisi tumezidi kulalamika bali hakuna vitendo!Tofauti yetu na mzungu ama mtu aliekulia utamaduni wa Magharibi ni kwamba mzungu mara baada ya kuona kitu kama hii, anaingia kazini yeye binafsi kutafuta ufumbuzi na kutoa msukumo unaotakiwa, iwe ni celebrity, mwanafunzi ama hata mtalii wa kawaida lakini sisi wengi wetu tunakimbilia kupayuka tu. Zhule na wengineo suluhisho wakati mwengine sio kusubiri Serikali, ukiona hali kama hii jiulize na wewe sio serikali tu, nini unaweza kufanya kusaidia?
Nakupa mfano mdogo endapo hali kama hii angeliiona gap year student kutoka UK, angeweza kueneza habari kwa madhumuni ya kuchangisha hela na likajengwa japo darasa moja pengine baada ya mwaka, Sasa kama wenzetu wao wana mwamko kama huu kwa nini sisi tushindwe?
Kama kwa mfano mwengine wiki iliyopita kulikuwa na charity appeal ya kuchangia disadvantage children wa UK (BBC children in need) na wanaochangia wengi ni wananchi wa kawaida kama wewe na mimi, hela inayopatikana inasaidia miradi mbalimbali ya hawa watoto, iwe ni huduma za afya, elimu nk. mwaka huu pekee walichanga kiasi cha £20,309,747 ikiwa wastani wa pauni millioni 20 kupatikana katika siku 2 tu!!!! Sio kama nataka kufananisha wao na sie ila kwa nini na sisi tusiwe na walau vijiharambee vidogo kama hivi? Si tunaona watu wanachangia vitu vya kibwege kama BSS na big brother? mfano mdogo iwapo kutakuwa na appeal kama hii na kila mtu atapiga simu ama kutuma text kwa gharama ya shs.500, watu 20,000 pekee zitapatikana shilingi millioni 10,000! Tosha kujenga madarasa walau matatu.

Nd. Kweli,

Hayo uyasemayo ni kweli tupu, lakini sisi Watanzania shida yetu kubwa ni kuwa pesa zetu zinaliwa bure bure na wakubwa. Tungelikuwa hatuna kitu hapo tusingelisema mengi, lakini tunacho kila kitu isipokuwa viongozi bora tu hatuna na ndio maana tunapiga kelele.
Sasa tujinyime sisi wenyewe ili tuchangie kujenga mabanda ya shule wakati Bw. Chenga ananunua Radar moja kwa bei ya 3 na tunamuachia?
Much can be done with limited resources, but with unlimited imaginations!!! Imaginations hatuna na hicho kidogo Bwana Chenga anatunyanganya mdomoni!!!
 
naona maisha yetu ni magumu sana hasa kuna baadhi ya hosp ukitembelea unaweza kuzimia


Wewe sister acha uongo. Kama unaweza kuzimia, si ungekuwa umezimia siku nyingi. Na kwa sababu huko hapa unadunda happily, hitimisho ni kuwa hujawahi kutembelea hizo hospitali au hali katika hospitali hizo zinakubalika kwa watanzania wengi.

Hivi ni kweli wanaJF na waandishi wa habari wanashtuka baada ya crackhead Naomi kutoa machozi?
 
Serikali ni ya kulaumiwa 100% lakini na sisi WABONGO tubadilike jamani, tujifunze utamaduni wa wenzetu, tusiisubiri serikali, kila mmoja atimize wajibu wake. Let's all get involved in making a change for God sake! Sisi tumezidi kulalamika bali hakuna vitendo!Tofauti yetu na mzungu ama mtu aliekulia utamaduni wa Magharibi ni kwamba mzungu mara baada ya kuona kitu kama hii, anaingia kazini yeye binafsi kutafuta ufumbuzi na kutoa msukumo unaotakiwa, iwe ni celebrity, mwanafunzi ama hata mtalii wa kawaida lakini sisi wengi wetu tunakimbilia kupayuka tu. Zhule na wengineo suluhisho wakati mwengine sio kusubiri Serikali, ukiona hali kama hii jiulize na wewe sio serikali tu, nini unaweza kufanya kusaidia?
Nakupa mfano mdogo endapo hali kama hii angeliiona gap year student kutoka UK, angeweza kueneza habari kwa madhumuni ya kuchangisha hela na likajengwa japo darasa moja pengine baada ya mwaka, Sasa kama wenzetu wao wana mwamko kama huu kwa nini sisi tushindwe?
Kama kwa mfano mwengine wiki iliyopita kulikuwa na charity appeal ya kuchangia disadvantage children wa UK (BBC children in need) na wanaochangia wengi ni wananchi wa kawaida kama wewe na mimi, hela inayopatikana inasaidia miradi mbalimbali ya hawa watoto, iwe ni huduma za afya, elimu nk. mwaka huu pekee walichanga kiasi cha £20,309,747 ikiwa wastani wa pauni millioni 20 kupatikana katika siku 2 tu!!!! Sio kama nataka kufananisha wao na sie ila kwa nini na sisi tusiwe na walau vijiharambee vidogo kama hivi? Si tunaona watu wanachangia vitu vya kibwege kama BSS na big brother? mfano mdogo iwapo kutakuwa na appeal kama hii na kila mtu atapiga simu ama kutuma text kwa gharama ya shs.500, watu 20,000 pekee zitapatikana shilingi millioni 10,000! Tosha kujenga madarasa walau matatu.
Kwaiyo serikali yetu ni disadvantageous?unajua pesa zilizotengwa kwa ajili ya vitafunwa ni shilingi ngapi wizara ya fedha?Unafahamu pengo la mishahara ya wanaojihita exacutives na watumishi watendaji ni shilingi ngapi? unafahamu Kagoda, meremeta, deep green, richmond, iptl,ticts, etc. Usiongee tu kwa sababu unamidomo.serikali yetu haiwezi kushindwa kujenga madarasa. ufahamu africa? pamoja na mishahara midogo tunayopata watengemezi ni wengi mno. watanzania wanawaudumia hadi majirani, ndugu wanasaidiana sana.
 
wazungu wanapenda maana anafanikisha unyunyaji wao, kwa makampumi feki na uwekezaji wa kipuuzi ila mkwere yeye kichwa kinakuwa kikubwa hadi kinamshinda kubena, watanzania kama ni wanaume tuliingia choo cha kike kama wewe ni mwanamkwe uliingia choo cha kiume

Kabla ya kuanza kuraumiana kwamba tuliingia cha kike au chakiume je kulikuwa na mbadala? au tuingie cha waremavu?
 
Nd. Kweli,
Hayo uyasemayo ni kweli tupu, lakini sisi Watanzania shida yetu kubwa ni kuwa pesa zetu zinaliwa bure bure na wakubwa. Tungelikuwa hatuna kitu hapo tusingelisema mengi, lakini tunacho kila kitu isipokuwa viongozi bora tu hatuna na ndio maana tunapiga kelele.
Sasa tujinyime sisi wenyewe ili tuchangie kujenga mabanda ya shule wakati Bw. Chenga ananunua Radar moja kwa bei ya 3 na tunamuachia?
Much can be done with limited resources, but with unlimited imaginations!!! Imaginations hatuna na hicho kidogo Bwana Chenga anatunyanganya mdomoni!!!

Well said mwananchi, hizo nchi anazozisema watu wanalipa kodi na wanaona jinsi kodi yao inavyofanya kazi vizuri na ndo maana wanapata ari ya kuchangishana. Sisi kwetu mmh ni balaa tupu, kodi zetu ndio zinapangiwa vitafunwa, kununulia magari ya kifahari(mashangingi), semina ngurdoto, kama hivyo kununulia maua na mapambo yaani inasikitisha! Katika hali kama hii nani atakuwa na moyo wa kuchanga?
Yote kwa yote sisi wenyewe wananchi ndio tunapaswa kulaumiwa kwani wakati wa uchaguzi ukifika tunawarudisha tena hao hao wezi madarakani tena kwa kishindo, hivyo acha tuendelee kuteseka kwani ni matunda ya tulichopanda. Labda kizazi baada ya chetu ndio kitabadilika ila kwa hiki chetu, no way. May God have mercy upon us!
 
Back
Top Bottom