Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 312
Heshima mbele
Wana JF pasaka ilikuwa mbaya kwangu baada ya tarehe 6/4/12 kununua dawa ya kienyeji ya kutoa sumu mwilini iliyokuwa inauzwa na Wasabato na tarehe 8/4/12 kuinywa
baada ya kunywa nilienda haja kubwa na kinyesi changu kuonekana kuwa na mirenda mirenda baada ya dk 30 niliienda tena na hapo ndipo nilipoanza kuharisha nilikuwa naharisha particles nyeusi na kuharisha huko kulikuwa kila baada ya saa moja. mpaka jioni nilikuwa nimeharisha zaidi ya mara kumi lakini sikudhoofika sana.
kwa sababu niliogopa kuishiwa na maji mwilini niliamua kwenda hospital ili niongezewa maji aidha niliongezewa dripu mbili za maji na sasa mimi mzima kabisa.
Lakini baada ya hapo macho yameingia ndani na mashavu yammebonyea sana. Je, nitumie chakula gani ili nirudi katika hali yangu ya kawaida/zamani/niongeze shavu
Natanguliza shukrani
Wana JF pasaka ilikuwa mbaya kwangu baada ya tarehe 6/4/12 kununua dawa ya kienyeji ya kutoa sumu mwilini iliyokuwa inauzwa na Wasabato na tarehe 8/4/12 kuinywa
baada ya kunywa nilienda haja kubwa na kinyesi changu kuonekana kuwa na mirenda mirenda baada ya dk 30 niliienda tena na hapo ndipo nilipoanza kuharisha nilikuwa naharisha particles nyeusi na kuharisha huko kulikuwa kila baada ya saa moja. mpaka jioni nilikuwa nimeharisha zaidi ya mara kumi lakini sikudhoofika sana.
kwa sababu niliogopa kuishiwa na maji mwilini niliamua kwenda hospital ili niongezewa maji aidha niliongezewa dripu mbili za maji na sasa mimi mzima kabisa.
Lakini baada ya hapo macho yameingia ndani na mashavu yammebonyea sana. Je, nitumie chakula gani ili nirudi katika hali yangu ya kawaida/zamani/niongeze shavu
Natanguliza shukrani