shabanimzungu
Senior Member
- Jul 7, 2009
- 182
- 2
Salam baada ya Salaam,
Juzi hivi imenunua miwani ya kusomea hapo kwa machinga na wakati nime jaribu ilnifaa vizuri nika ona vizuri kwa kusomea.
Lakini leo kichwa imeniuma wakati nasomea naye...je mnafikiri niende wapi? kuna rafiki ameniamia nina pressha ya macho....i am confused...vipi anyone can recommend me any eye specialis in Dar? Muhimbil nimesikia wana lipua..............CCBRT -foleni kibao........any other place?
Naihitaji urgent rcommendation..tfadhalini...............
Juzi hivi imenunua miwani ya kusomea hapo kwa machinga na wakati nime jaribu ilnifaa vizuri nika ona vizuri kwa kusomea.
Lakini leo kichwa imeniuma wakati nasomea naye...je mnafikiri niende wapi? kuna rafiki ameniamia nina pressha ya macho....i am confused...vipi anyone can recommend me any eye specialis in Dar? Muhimbil nimesikia wana lipua..............CCBRT -foleni kibao........any other place?
Naihitaji urgent rcommendation..tfadhalini...............