DAWA YA SIKIO
JF-Expert Member
- Dec 8, 2011
- 979
- 180
Machizi wawili katika pitapita wakaokota kioo. Kichaa wa kwanza kujiangalia kwenye kikoo,akashtuka,
baada ya kujiona.
"Aloo huyu nani kwenye kioo mbona simjui ?!"
KICHAA WA PILI: (Akimpokonya kioo mwenzake na kujiangalia): Acha ushamba wewe,huyu si mimi umeshindwa kunitambua ?!
KICHAA WA 1 (akajiangalia kwa mara ya pili na kutikisa kichwa): Aah kweli huyu ni wewe,nilikuangalia vibaya mara ya kwanza!
baada ya kujiona.
"Aloo huyu nani kwenye kioo mbona simjui ?!"
KICHAA WA PILI: (Akimpokonya kioo mwenzake na kujiangalia): Acha ushamba wewe,huyu si mimi umeshindwa kunitambua ?!
KICHAA WA 1 (akajiangalia kwa mara ya pili na kutikisa kichwa): Aah kweli huyu ni wewe,nilikuangalia vibaya mara ya kwanza!