Michael Chairman
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 922
- 581
Leo ndiyo ilikuwa siku ya mwisho ya wafanya biashara wadogo wadogo almaarufu kama Machinga.
kufanya biashara barabarani ambao uliItolewa na mkurugenzi wa halmashauri ya jiji pamoja na mkuu wa wilaya wa nyamagana Mama Mary Tesha.
Hali ya jiji la mwanza kwa sasa ni tulivu baada ya machinga kukubali kuondoka na kwenda kwenye maeneo yaliyopangwa kwenye maeneo ya nyegezi stand , mkolani , pamoja na buzuruga ambayo ndiyo yatakuwa maeneo yao ya biashara kwa sasa.
Kwa upande wake mbuge wa jimbo la nyamagana Stanslaus Mabula wakati akihojiwa na kituo kimoja cha radio cha jiji Mwanza amesema kuwa hakuabaliani na uamuzi wa serikali wa kutaka kuwaondoa machinga jiji Mwanza bila kuwapangia maeneo mazuri ya kufanyia biashara , kwani kufanya hivyo ni kuwaonea hawa watanzania wanyonge amabao wanabangaiza kwa kufanya kazi na sasa serikali imeamua kuongeza idadi ya watanzania wasiofanya kazi hili halikubaliki kwani kwa kufanya hivyo ni kuwaonea.
Alipo ulizwa swali la kizushi je yupo tayari kuandamana na machinga kupinga kitendo hicho Mabula bila kupepesa macho alisema yupo tayari na atakuwa mstari wa mbele kupinga kitendo hicho cha serikali.
Kwa sasa hakuna tena matukio kama haya
kufanya biashara barabarani ambao uliItolewa na mkurugenzi wa halmashauri ya jiji pamoja na mkuu wa wilaya wa nyamagana Mama Mary Tesha.
Hali ya jiji la mwanza kwa sasa ni tulivu baada ya machinga kukubali kuondoka na kwenda kwenye maeneo yaliyopangwa kwenye maeneo ya nyegezi stand , mkolani , pamoja na buzuruga ambayo ndiyo yatakuwa maeneo yao ya biashara kwa sasa.
Kwa upande wake mbuge wa jimbo la nyamagana Stanslaus Mabula wakati akihojiwa na kituo kimoja cha radio cha jiji Mwanza amesema kuwa hakuabaliani na uamuzi wa serikali wa kutaka kuwaondoa machinga jiji Mwanza bila kuwapangia maeneo mazuri ya kufanyia biashara , kwani kufanya hivyo ni kuwaonea hawa watanzania wanyonge amabao wanabangaiza kwa kufanya kazi na sasa serikali imeamua kuongeza idadi ya watanzania wasiofanya kazi hili halikubaliki kwani kwa kufanya hivyo ni kuwaonea.
Alipo ulizwa swali la kizushi je yupo tayari kuandamana na machinga kupinga kitendo hicho Mabula bila kupepesa macho alisema yupo tayari na atakuwa mstari wa mbele kupinga kitendo hicho cha serikali.
Kwa sasa hakuna tena matukio kama haya