Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
umoja ni nguvu utenganino ni dhaifu machali na wewe ungetoka nje hutaweza umetumwa na James Mbatia
Nimefuatilia mchango wa mbunge wa kasulu mjini mosses machali wakati anachangia muswada wa sheria kwa ajili ya mchakato wa katiba. Amechangia vizuri na kwakweli amenifanya nione uamuzi wa chadema na baadhi ya wabunge wa nccr akina kafulila na mkosamali haukuwa na busara wala mantiki. Machali amepinga muswada na watanzania tumesikia hoja zake. Huu upinzani wa kususa mijadala naona kama ni kupotoka. Nawashauri jamani hata kama mnajua ccm wamesha amua muhimu kuonesha watanzania mawazo yenu badala ya kususa kila kukicha. Ni maoni yangu. Napenda kuwasilisha
Nimefuatilia mchango wa mbunge wa kasulu mjini mosses machali wakati anachangia muswada wa sheria kwa ajili ya mchakato wa katiba. Amechangia vizuri na kwakweli amenifanya nione uamuzi wa chadema na baadhi ya wabunge wa nccr akina kafulila na mkosamali haukuwa na busara wala mantiki. Machali amepinga muswada na watanzania tumesikia hoja zake. Huu upinzani wa kususa mijadala naona kama ni kupotoka. Nawashauri jamani hata kama mnajua ccm wamesha amua muhimu kuonesha watanzania mawazo yenu badala ya kususa kila kukicha. Ni maoni yangu. Napenda kuwasilisha
Mchezaji akifunga magoli mazoezini huwa hayaesabiki, ccm na machali ni wachezaji wa timu moja na sasa wako mazoezini tena wanatumia magoli madogo.
moses machali haeleweki mfuatilieni anatumiwa
machali mwenyewe ni msaliti hakutoka na wenzake wa NCCR mageuzi atamwendesha puta nani kama sio NCCR na kumtetea James mbatia kama kibaraka wake