Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,917
- 31,157
Maonyesho ya Syria mjini Arusha ni aina vituko vinavyoendelea hapa na kudhihirisha jinsi diplomasia ya Tanzania ilivyochoka.
Dunia inashuhudia ukatili na mauaji ya kutisha yanayofanywa na serekali ya Syria dhidi ya raia waliochoshwa na mfumo kandamizi ya Rais Bashar al Assad.Umoja wa mataifa kupitia mjumbe wake maalamu Koff Annan umekuwa na mazungumzo juu ya usitishwaji wa mapigano baina ya majeshi ya serekali na wapinzani.
Nilitegemea serekali ya Tanzania ingesitisha maonyesho ya Syria mjini Arusha ikiwa ni ishara ya kukerwa na mambo yanayoendelea Syria.
Dunia inashuhudia ukatili na mauaji ya kutisha yanayofanywa na serekali ya Syria dhidi ya raia waliochoshwa na mfumo kandamizi ya Rais Bashar al Assad.Umoja wa mataifa kupitia mjumbe wake maalamu Koff Annan umekuwa na mazungumzo juu ya usitishwaji wa mapigano baina ya majeshi ya serekali na wapinzani.
Nilitegemea serekali ya Tanzania ingesitisha maonyesho ya Syria mjini Arusha ikiwa ni ishara ya kukerwa na mambo yanayoendelea Syria.