Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
Yaani mke wako anakuambia anadaiwa, then anakunywa sumu, unajitahidi kumpa maziwa lakini anakuzidi nguvu na kuondoka na gari - badala ya kumfukuzia huyu mtu ambaye amekunywa sumu, au hata ku-report polisi, wewe unaenda kwa mdai kulipa deni! How bizarre?
Hii iko kama hadithi zile za zamani za James Hadley Chase! - Believe this, you will believe anything!