Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,876
- 2,748
Hapo ni bungeni Tanzania
Hapa ni bungeni TZ pia
hapa ni Kenya
Hizi si picha za ukutani. Ni wabunge wa Kenya wako kikaoni
Hapa ni Uingereza. Si karne ya 18, ni ya 21.
Don't forget pal, we Tanzanias are tallented with highest degree of laziness! Ndiyo maana tunafikiria starehe tu badala ya uchapa kazi!
bunge letu ni kubwa sana. Idadi ya wabunge si tatizoIna maana wabunge wetu ni wachache sana au bunge letu ni kubwa sana?
ndugu, bunge la kwetu ni takrima tosha. Fadhila inapozidi uhuru wa maamuzi nao unanyongwa. Niliwahi soma sehem kuwa, sehem kama habari maelezo haitakiwi kuwa na nakshi sana. Wala hapatakiwi kuwa na viburudani maana hivyo vitawashawishi wanahabari kupindisha maamuzi kwani mlengwa anaweza kutumia mazingira hayo kurubuniTukumbuke kwamba Uingereza ina mabunge mawili (House of Commons na House of Lords).. na hii picha inaonyesha mojawapo.Ila pia uamuzi wa kudumisha historia ya jengo lao ndio unaofanya wabanane humo ndani..Ni uamuzi wa muda mfefu uliofanywa na waziri mkuu Winston Churchill wakati likijengwa upya baada ya kubomolewa na moto vitani.Sisi hatuna historia yoyote ya kulinda na hivyo sioni tatizo kuwa na jengo la kisasa.Ila kama hiyo itasababisha watu walale usingizi au kushawishika kuongeza idadi ya wabunge ili kulijaza basi tutakuwa tuna matatizo makubwa.
inasikitisha sana wabunge kulala bungeni ni kwasababu ya goodtime wanayopata posho nyingi na mshahara mkubwa WABUNGE ACHENI KULALA TATUENI MATATIZO YA WANANCHINdo Maana Walio wengi Nadhani Hawana uwezo wa kufikiria ukiacha Wachache sana waliopo mule.
Alawansi
Mishahara
Maviti Makubwa
Mashangingi
Yote hii ni kuyafanya yasahau matatizo ya Nchi!
Kuna haja ya kuubadilisha ukumbi wa Bunge letu TZ ukae kikazi zaidi. Umekaa kianasa sana ndio maana wanaotafakali kwa kina ni wengi. Halafu kutwa Bunge halijajaa hivi wanaenda wapi wakati wanatakiwa kuwa Mjengoni?
kwa kuwa bado shughuli zote za serikali bado zipo dar, karimjee inawafaa zaidiKuna haja ya kuubadilisha ukumbi wa Bunge letu TZ ukae kikazi zaidi. Umekaa kianasa sana ndio maana wanaotafakali kwa kina ni wengi. Halafu kutwa Bunge halijajaa hivi wanaenda wapi wakati wanatakiwa kuwa Mjengoni?
kama ni kubwa kuliko la uingereza na la kenya kulinganisha idadi ya wabunge wanapokuwa bungeni tunakosea. Ni lazima seats zetu nyingi zitaonekana zipo wazi.bunge letu ni kubwa sana. Idadi ya wabunge si tatizo