The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,873
kwani mnashindwa nini kusema kuwa hii nyama ya leo sio tamu au mapishi ya leo hakuna kitu au hukuweka viungo vya kutosha mpaka tuanze kukashifiana hujui kupika wala hujui mapishi au ladha ya nyama mbaya au imekonda
mimi nauliza swali hili..
Kama nikila kwako na nikashiba na wewe ukafurahi..
Je ukigundua nilikula chips njiani,utanihukumu vipi?