hiyo ni sawa na kusema maji ya kunywa yanalewesha.Asante Hus....wengine eti wanataka kwenye ngombe wapat ladha ya kondoo.
Magu kama hujanielewa ...sijasema nyama za wanyama wote zinafanana ila kama mnyama ni yule yule hamna jipya.Wanyama wa porini baadhi wanajulikana kwa utamu waa sio uongo.
ahhhh ndo wale wale...wazeee...vijana siku hizi hamtofautiani.tena bora wazee wenye kisingizio cha kuzeeka.
Yeahhh kwa vyovyote vile hamwezi kukubali mapungufu yenu.Mkiishiwa nguvu mtasema zetu zimeongezeka/zidi...mkizidiwa na tamaa mtasema nguvu/uhitaji wetu umepungua.tatizo na nyinyi siku hizi appetite yenu imeongezekaipo above standard...Hamlizungumzi hilo
Yeahhh kwa vyovyote vile hamwezi kukubali mapungufu yenu.Mkiishiwa nguvu mtasema zetu zimeongezeka/zidi...mkizidiwa na tamaa mtasema nguvu/uhitaji wetu umepungua.
Hahhhha...kwasababu mmetufundisha na kutuzoesha kwamba hiyo ndo solution pekee...bila kusahau kwamba hampendi kukosolewa wala kurekebishwa na kuelekezwa.Tunayakubali sana mapungufu yetu ila tatizo nyie hamuishi kuturushia madongo na kama kuna mapungufu kwa nini tusiyaongee badala yake unaenda kutafuta bucha mpya na mpishi mpya
yeahhh kwa vyovyote vile hamwezi kukubali mapungufu yenu.mkiishiwa nguvu mtasema zetu zimeongezeka/zidi...mkizidiwa na tamaa mtasema nguvu/uhitaji wetu umepungua.
Hahhhha...kwasababu mmetufundisha na kutuzoesha kwamba hiyo ndo solution pekee...bila kusahau kwamba hampendi kukosolewa wala kurekebishwa na kuelekezwa.
Sio vizuri kutupa chakula, so kama umekuta kibaya unakula 2, lkn kwa ahadi ya kubadili bucha!Kwahiyo mpaka ule..uharishe ndo ujue kumbe pale sio?!
Mbona na sisi ndivyo tunavyojisikiaga hivyo hivyo?!Basi tuanzeni kutendeana haki....Huwa hamttupi nafasi ya kujitetea wala kujieleza always mnachukua maamuzi yenu wenyewe na mnapoamua mnakuwa na kashfa juu kuwa bucha gani bana hii nyama kila siku imekonda haina ladha. Kw anini usingeuliza ni kwa nini nyama haina ladha ukasikia na mimi utetezi wangu
Mbona na sisi ndivyo tunavyojisikiaga hivyo hivyo?!Basi tuanzeni kutendeana haki....
mbona na sisi ndivyo tunavyojisikiaga hivyo hivyo?!basi tuanzeni kutendeana haki....