mchemsho
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 3,212
- 867
Zile 'subtitle' zinazopitishwa wakati wa taarifa ya habari zinakera, hazina mpangilio, na hazina updates, nimeangalia subtitle zinazopitishwa kwenye kipind cha bang angalau ni nzuri, font size, speed, mwonekano mzuri pia. Nashauri huyu jamaa anaeziprogram ahamishiwe kwenya kipind cha taarifa ya habari ili ivutie. Tbc1 has a very long long way to go