Mabomu yamelipuka katika maeneo ya kizumbi lakini hayakusababisha maafa.Mabomu hayo yaleta hofu kwa wakazi wa mjini Shinyanga. Source:kidau.blogspot.com
Mhh Kuna maandamano Shinyanga leo ya Chadema naona maandalizi yameanza...
Hiyo kambi ni Kizumbi kweli au Old Shinyanga? Tuleteeni habari zaidi tafadhali
kama kweli basi hali hhii ya kushikitisha sana nchi hii; hope hayahusiani na wimbi la CDM maandamano
Ni kambi ya jeshi??
si walisema hayalipuki tena au? mhhu. mara ya kwanza walisema tukalale mabondeni mara tujiandae kulala angani. yetu macho.
Ahaaaaa!! Hao jamaa wameanza kweli mipango yao ya uchakachuaji maandamano ya CHADEMA. Maana presha yao imewapanda ile mbaya.
WAKATI kumbukumbu ya milipuko ya mabomu katika kambi ya JWTZ ya Gongo la Mboto ikiwa bado hazijafutika katika fikra za wakazi wa jiji la Dar es Salaam, mabomu mengine ya jeshi yamelipuka katika kambi ya Kizumbi mkoani Shinyanga.Lakini tofauti na milipuko ya GongolaMboto, yaliyosababisha vifo vya zaidi ya watu 20, na wengine 400 kujeruhiwa, milipuko ya Kizumbi, hayakuleta madhara yoyote.Gazeti gani hilo?
Hiyo kambi ni Kizumbi kweli au Old Shinyanga? Tuleteeni habari zaidi tafadhali