hao polisi waliotoka iringa,ikitokea iringa kuna fujo nako nan atalinda aman?
hao polisi waliotoka iringa,ikitokea iringa kuna fujo nako nan atalinda aman?
shansila we ni mchaga,maana ndio wanaooita Jeshi Geshi.
u'E ilisimama pale sAUT-songea jana, madogo wasijepata kisingizio waki sup!poleni sana!
aliyeuwawa asubuhi uko namanditi ni raia! Lkn huyu wa jioni ndo inasemekana ni jambazi ameuliwa na raia wenye hasira kali maeneo ya mkuza.
Vita hii itamuondoa mtu madarakani
Polisi ni wengi hasa kutokana na kuletwa toka Iringa.Hawataki vikundi tena.wakikuta wanapiga mabomu