Elections 2010 Mabomu ya machozi yarindima Mbeya

Whisper

JF-Expert Member
Jun 2, 2009
502
207
Baada ya aliyekuwa mbunge wa Mby vijijini kwa tiketi ya CCM ndg. Mwanjali kukataa kusaini matokeo ya uchaguzi kwa zaidi ya masaa 24 sasa, wananchi waliamua kwenda nyumbani kwake eneo la Iwambi kumshinikiza atoke na kwenda kusaini la sivyo wangechoma moto nyumba yake. Mbunge huyo aliomba msaada polisi na na wale jamaa ambao wana vazi jipya (robotic dress) walifika na kufyatua tear gases. wananchi waliamua kukodi mabasi na kwenda Mbeya mjini ambapo ndipo ilipo ofisi ya mkurugenzi wa halmashauri mby (v) na kumwambia wamechoka kuahirisha mlipko wa furaha yao. kama ilivyokuwa Iwambi, mkurugenzi aliwaita FFU ambao walikuja na kusababisha mtafaruku mkubwa, maana mji mzima ulirindima kwa mabomu ya machozi.

Ninafikiri kwa presha hii, jamaa watafungulia shangwe ya NGUVU YA UMMA.
 
Kwa hiyo unataka kutuambia kwamba Mgombea wa Chadema anaelekea kushinda??? Tupatie taarifa tafadhali.
 
Baada ya aliyekuwa mbunge wa Mby vijijini kwa tiketi ya CCM ndg. Mwanjali kukataa kusaini matokeo ya uchaguzi kwa zaidi ya masaa 24 sasa, wananchi waliamua kwenda nyumbani kwake eneo la Iwambi kumshinikiza atoke na kwenda kusaini la sivyo wangechoma moto nyumba yake. Mbunge huyo aliomba msaada polisi na na wale jamaa ambao wana vazi jipya (robotic dress) walifika na kufyatua tear gases. wananchi waliamua kukodi mabasi na kwenda Mbeya mjini ambapo ndipo ilipo ofisi ya mkurugenzi wa halmashauri mby (v) na kumwambia wamechoka kuahirisha mlipko wa furaha yao. kama ilivyokuwa Iwambi, mkurugenzi aliwaita FFU ambao walikuja na kusababisha mtafaruku mkubwa, maana mji mzima ulirindima kwa mabomu ya machozi.

Ninafikiri kwa presha hii, jamaa watafungulia shangwe ya NGUVU YA UMMA.
At least wewe unaeleza the prevailing situation....
 
Back
Top Bottom