uongozi mbovu ndio chanzo cha kuzalisha polisi vilazi kama hawa plus kamuhanda maana haingiii akilini kwa mtu mwenye uelewa afanye kitu walichokuwa wanafanya polisi siku ile na hapo ndipo walipodhihilisha uzezeta wa jeshi la polisi lilivyo kwa sasa.
Zomba, Hivi Lumumba wanakulipa bei gani kwa kazi unayoifanya humu jf, na unajishughulisha na kazi gani nyingine?