figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
wakuu kuna vitu vinaripuka kama mabomu tena. sasa hivi. kuna nini? Mia
Maeneo gani?wakuu kuna vitu vinaripuka kama mabomu tena. sasa hivi. kuna nini? Mia
wakuu kuna vitu vinaripuka kama mabomu tena. sasa hivi. kuna nini? Mia
Hahaha!...hivi huwa wanaoga huko huko makaburini au?sina imani na walala makabulini kesho yake wanaamukia ofisini. mia
yatakuwa mafataki ya Swansea wanashingilia kumfunga Arsenal jana