nziriye
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 1,050
- 361
Nianze kwa kuomba r.i.p kwa marehemu wote wa mabomu gongo la mboto ,na majeruhi wawahi kupona mapema,but kweli vita mbaya yani ktk kimbia kimbia kila mtu kuokoa roho yake kuna mama mmoja amejikuta kabeba mbwa badala ya mtoto akafika jet -corner ndo kutahamaki kaacha mtoto,wengne wakimbia uchi,na sidiria,chupi,na tight,boxer...jamani eti ktk vita huwa kuna matukio yepi mengne ya kuchanganyikiwa yanayotendwa na wahanga