Mabomu Gongo la Mboto: Mwinyi asema hajiuzulu

Simba na kilonzi mporogonyi...waliachia ngazi...je ilitengeneza mazingira ya wanasiasa kujitambua??kwa utawala huu hata wajiuzulu wote haina maana,la msingi tubadishe watawala wamechoka wote....tuanze upya.
 
hongera sana dr mwinyi! siku moja shingo yako itakuwa halali yetu!! hamuwezi kutuua kijinga jinga!
 
Kazi yako inaonekana hapa chini wewe sijui tukuitaje shujaa au msaliti?


Gongo1.jpg

Mh!inatisha,lazima wahusika wawajibike haraka!!
 
Ndugu Dk Mwinyi,

Ningependa kuchukua fursa hii kukupongeza kwa zati kwa ufanisi wako kufuatia mlipuko wa mabomu ya Gongo la Mboto:

1)Mara hii hakukuwa na wahanga wa kijeshi kama ilivyokuwa kule Mbagala
2)Ulikuwa kiongozi wakwanza kuwepo kwenye eneo la tukio hata kabla halijaanza
3)Umekuwa jasiri kusema huwezi kujiuzulu kwa kuwa umefanya kazi yako vizuri
4)Ulimpokea Mkuu wa nchi alipokuja kuona maendeleo ya kazi huko Gongo la Mboto
5)Tunasubiri kwa hamu wapi kutafuata katika huku kulipua kwetu mabomu.

Kazi njema Bwana Waziri


walewale lkn tutafika tuuu hata wajinga wataelimika....
 
kwa kifupi anachosema ni kwamba kwa mtazamo wake yeye, hana kosa lolote.....sasa tume ikija na kusema anakosa, ndio ataona kuwa anakosa....kaazikwelikweli

We TINTIN

Dr. Mwinyi asijifanye hajui kosa lake.

Tume ya kwanza (Mbagala Mabomu)- Hatuijui ilitoa tamko gani? zaidi ya kuwafidia watu nyumba tuuu na sidhani kama haki ilitendeka pale

Tume ya Kwanza (Mbagala Mabomu) -Mapendekezo ambayo yaliyotolewa kipi au nini kifanyike kutokumbwa/kutotokea/kutojirudia kwa tukio kama hilo la kwanza?

Kosa ni Kutokuwajibika,Uzembe,Uadilifu baada ya makosa ya tukio la kwanza na kutofuatailia/kupuuzia mapendekezo ya tume iliyoundwa na ndio twamtaka ajiuzuru period. very simple

Jamani maisha ya watu yamepotea pale asijifanye anapotezea. Tukirudi nyuma kwa report ya tume ya maafa ya mbagala itawajibisha viongozi wengi kuanzia Rukuvi aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar -es-salaam.
 
Waziri mwenzetu huseni mwinyi tunakutakia maisha marefu katika kuritumikia taifa la Tanzania, kazi tunaiona undelea kuwatumikia watanzania kwa moyo wako wote.

Watu wanataka kukupunguza ili usilitumikie taifa lako

Nasema na kusema hakuna mtu hatakayejudhuru

Nasema na kusema hakuna mtu hatakayejudhuru

Nasema na kusema hakuna mtu hatakayejudhuru

No one will resign

No one will resign

No one will resign


Jeykeywaukweli

acha ufala wewe shoga. h mwinyi mumeo nini?yaan watanzania wenze2 wamekufa unaongea pumba. kwann hujafa wewe wakabaki hao waliokufa
 
Hakuna kazi nzuri yoyote wakati watu wamepoteza maisha.

Mbagala ilikuwa fundisho kubwa kuchukua taadhali.
Huyu ajuuzuru apishe watu serious wanao weza kutoa order na watu wakafanya kazi.
Jeshi si mahali goi goi .
Mambo ya mabom ni hatari sana.
Lazma wawajibike,
Kwani ndugu wawalio poteza maisha ni issue.
Step down Mwinyi!
 
Bila kumtoa nduli CCM na mambo yake yote hamna cha maana kitakachofanyika tz!
 


Dr. Mwinyi asijifanye hajui kosa lake.


Hivi kwanini Tanzania ndio nchi pekee ambayo wapuuzi kama hawa ndio wanapewa dhamana kubwa ya kuongoza nguzo muhimu za umma halafu wanafanya utumbo na tunashindwa kuwawajibisha? Haki ya nani, huyu jamaa Mwinyi asipowajibika angalau kwa kujiuzulu nitaamini Tanzania tumelaaniwa.
 
H.Mwinyi anasema tusubiri majibu ya tume. Aliyemwambia tunaunda tume tena ni nani?? Safari hii hakuna cha tume, kila mtu ajipime na achukue uamuzi sahihi. Mifano tunayo: EL na Alhaji Mwinyi.
 
Makubwa haya eti kazi nzuri iko wapi?kwa kuua watu?

Kiongozi hapa imetumika sanaa tu kufikisha ujumbe.
Maana kaambiwa aachie ngazi kagoma, what else does he need zaidi ya pongezi kwa kazi aloifanya.
Kawekewa na picha mama asokuwa na hatia kupoteza maisha. Huyo mama pengine ni mke wa mwanaume kama yeye Hussein, ni mtoto mzazi kama Hussein alivyo kwa Mzee Mwinyi, pengine ni mzazi kama alivyo yeye.

Nchi hii sijui nani alituroga maana tumefanywa misukule.
 
Baada ya Mabomu kulipuka Gongo la Mboto, macho yangu yamefunguka zaidi kwamba wizara zote zinazosimamia ulinzi na usalama wa watanganyika Kikwete kaziweka chini ya wazanzibari.

Hii ni sahihi kweli?

Ndugu zetu wanakufa kwa uzembe kabisa alafu mzanzibari anasema hajiuzulu.
 
Back
Top Bottom